Gagurito
tuwekee ushahidi wa unayoyasema
tuwekee ushahidi wa unayoyasema
kule huwa twatimuliwa, wazenji hawapo kimuungano kabisa, machoni mwao ni kama vile watanganyika ndio maadui zao. Nashangaa wajapo kwetu humiliki mali na majumba ya gharama, viwanja na maduka makubwa! They are more selfish!