Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Kwa hiyo unaona ni sawa kwa kiongozi wa umma kuwa kuwadi/dalali wa wafanyabiashara? Miiko ya uongozi inaruhusu hii? Je, kama anapata commission kwa ukuwadi/udalali huo?Bila kujali anasaidia biashara ya nani, jambo la kupongezwa ni kwamba anasaidia watumishi kupata viwanja kwa bei nafuu yaani sq mita moja kwa 4,000.
Hii ni nzuri na mimi binafsi sina tatizo na GSM kwa sababu kama kweli viwanja vipo na watu watapata basi hakuna tatizo.
Labda kama una ugomvi binafsi
Kama alichokisema mleta mada ni kweli, basi kinapaswa kufikishwa kwenye Tume ya Maadili ya Umma. Hii ni kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sawa tu. Maana kama ilivyokuwa kwa wasilisho juu ya elimu yake, Tume haikulifanyia kazi!