Anko Drew
Member
- Jun 9, 2021
- 15
- 41
Moto umegawanyika katika madaraja makuu matano (5);
1. Daraja A
-Huu ni moto utokanao na vitu vyenye asili ya mimea mf. Karatasi, mbao, nguo n.k
2. Daraja B
-Huu ni moto utokanao na vimiminika vinavyowaka, ambao wengi huuita moto wa mafuta.
3. Daraja C
-Huu ni moto utokanao na gesi inayowaka. Hivyo milipuko yote itokanayo na gesi, moto huo tunauweka kwenye daraja C
4. Daraja D
-Kwenye moto huu, viunguavyo ni vile vitu vyenye asili ya madini kama vile chuma n.k
5. Daraja F au K
-Moto huu ni ule unaosababishwa na Mafuta ya kupikia yanapochemka sana na endapo yanapata chanzo kidogo cha moto huweza kuwaka.
1. Daraja A
-Huu ni moto utokanao na vitu vyenye asili ya mimea mf. Karatasi, mbao, nguo n.k
2. Daraja B
-Huu ni moto utokanao na vimiminika vinavyowaka, ambao wengi huuita moto wa mafuta.
3. Daraja C
-Huu ni moto utokanao na gesi inayowaka. Hivyo milipuko yote itokanayo na gesi, moto huo tunauweka kwenye daraja C
4. Daraja D
-Kwenye moto huu, viunguavyo ni vile vitu vyenye asili ya madini kama vile chuma n.k
5. Daraja F au K
-Moto huu ni ule unaosababishwa na Mafuta ya kupikia yanapochemka sana na endapo yanapata chanzo kidogo cha moto huweza kuwaka.