Endeleeni kujifariji wazee wa utoh..Mimi najaribu kuangalia pale Yanga kuna mchezaji gani wa Simba anayeweza kuingia kikosi chao cha kwanza kichwa kinaniuma imebidi niache tu!
Ahamed ally_kawavimbisha vyura mkavimba na bado mtavimba sana mkikosa ubingwa msimu huulabda angesema Hakuna mchezaji wa simba anayeweza kucheza kikos cha kwanza yanga ukweli kwa sasa simba hatueleweki tunacheza mchezo wa Aina gan wachezaj tumepigwa kocha nae tumepigwa kitu tumefaulu n propaganda tu
CC: MTIBWA SUGARKwa mchezo ule waliocheza na mbeya city?
Em tuseme ukwel tu uliopo wazi kagere or boko wanaweza kumuweka feston kalala mayele out!!!?Msemaji wa Simba SC, Ahmed Ally amesema labda Khalid Aucho tu ndio kidogo anaweza akakaa benchi.
DuhMimi nasema hata huyo aucho hawezi kukaa bench la kikosi cha kwanza labda bench la kikosi B