Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,897
Utopolo wanaendesha kampeni za Kijinga sana ili tumuone mugalu hafai
Kumbukeni Mugalu kwa kasi na ubora alionao, hakuna forwad wala straika wa kulingana nae viwango pale jangwani.
Na infact chochote kinaweza kutokea anaweza kuwa best scorer kama bocco na Kagere wasipochukua
Kumbukeni Mugalu kwa kasi na ubora alionao, hakuna forwad wala straika wa kulingana nae viwango pale jangwani.
Na infact chochote kinaweza kutokea anaweza kuwa best scorer kama bocco na Kagere wasipochukua