Hili ndio tatizo la kushiba sana....Tutamlaum Mourinho weee but nimeangalia 1st eleven ya leo sijaona anayeweza kuingia kwenye team yoyote katika top six na akacheza hayupo hata mmoja
Hata Pogba hawezi
Juan mataTutamlaum Mourinho weee but nimeangalia 1st eleven ya leo sijaona anayeweza kuingia kwenye team yoyote katika top six na akacheza hayupo hata mmoja
Hata Pogba hawezi
Unajaribu paka aonekane Simba kitu ambacho hakiwezekani jinsi walivyo ndio maumbile yao.Tutamlaum Mourinho weee but nimeangalia 1st eleven ya leo sijaona anayeweza kuingia kwenye team yoyote katika top six na akacheza hayupo hata mmoja
Hata Pogba hawezi