Unachekesha....!! Kwanini unajipa moyo namna hii jamaa..!!? Haya mliyasema hivihivi mwaka ule wa uchaguz mkaangukia pua..naona mnarudia tena..hamchokiHuo ni uchaguzi mkuu kumbuka kuwa watu wana vinyongo vyao mioyoni mwao na hao wanao ilinda ccm watakuwa wachache sana
In God we trust