Uchaguzi 2020 Hakuna mbunge wa upinzani 2020 atayerudi bungeni

Wapinzani watarudi wengi huenda kuliko hata wa 2015,usiogope vitisho,wewe jiandae kupiga kura tu badala ya kufuata propaganda za ccm kuwa hawatarudi.

Ukiwa dhaifu lazima uibiwe lkn nakumbuka 2010 kuna wabunge walitangazwa baada ya wananchi kukinukisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapinzani watarudi wengi huenda kuliko hata wa 2015,usiogope vitisho,wewe jiandae kupiga kura tu badala ya kufuata propaganda za ccm kuwa hawatarudi.

Ukiwa dhaifu lazima uibiwe lkn nakumbuka 2010 kuna wabunge walitangazwa baada ya wananchi kukinukisha

Sent using Jamii Forums mobile app
hili la wabunge kuunga jihudi za Mh zimepunguza sana ari ya vijana kulinda kura na pia vijana wengi hamu ya kupiga kura imepotea labda kampeni ziwe tamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ngumu kuamini lakini 2020 hakuna mbunge yeyote wa upinzani atayefanikiwa kurudi bungeni ........

nasema hivyo kutokana na mazingira ya kisiasa ninayoyaona hivi sasa nchini sidhani kama 2020 kama kuna mbunge wa upinzani atayefanikiwa kurejea



Sent using Jamii Forums mobile app

Bravo!
However, kipima joto kwa maana ya thermometer kuhusu HALI YA KISIASA TANZANIA kinatoshelezwa na SAMPLING ya kitakwimu za yaliyotokea baada ya NGANGARI kuhama chama.

Aidha, tafsiri ni kwamba WATU WAMECHOSHWA na wanahitaji MBADALA na ujumbe kwamba THUBUTU UCHEZEE WATU 2020 au YAJAYO YANAFURAHISHA.

Takwimu hizo hazidanganyi bali ni pale ambapo kama RWANDA basi hakitaeleweka. A very poisonous precedent. The African child cries again, not yet UHURU! Agonies of a very dark epoch!
 
"Hakuna Uchaguzi Mgumu Kuwahi kutokea Tanzania kama Uchaguzi wa 2020" btw Kwa Hapa Mbeya Mjini SUGU anarudi Bungeni Lazima Masela Waingie Front Kwenye Mapambano.

"Mopao Mokonzi"
 
Kwani Mwanamke ukimbaka Na yeye akakuachia umbake kwakuwa hana nguvu ya kuhimili kumkabili mbakaji unadhani ndiyo huyo Ni mpenzi wako? Au unaweza kumwita mpenzi wako?
 
Back
Top Bottom