Uchaguzi 2020 Hakuna Mbunge CHADEMA anayeweza kushauri kugomea uchaguzi mkuu 2020

Sawa! Si ndiyo maana nimekuomba unifafanulie ili nielewe kinachoendelea mkuu ili nisibaki gizani?

Sasa mambo ya kufua nguo za watoto wa Boss wangu yanakujaje? Wewe mimi hunijui, pemgine mimi ndiye huyo boss je? Utajuaje?

Kuwa mstaarabu na jaribu kuleta jibu lenye uhakika.

Ww ni dhalimu fulani usiyejua chochote zaidi ya kuleta vitisho vya kizee. Una uboss gani ww mchumiatumbo? Kaa kushoto maana huna lolote ujualo zaidi ya kunipotezea muda.
 
Ndugu zangu,

Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.

Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.

Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.

Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Acha kuwaza kwa kutumia makalio ccm na chadema nani kaweka Mpira kwapani? Acha kuchokoza watu wamenyamaza
 
Bunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa
Hata wakigombea sisi wapiga kura HATUTA PIGA KURA.
Haina maana kumpigia mtu kura halafu anauawa. , Anatekwa. , Anapotezwa. , Anaunga mkono juhudi.

Hatufanyi ujinga huo Tena.
 
Hata wakigombea sisi wapiga kura HATUTA PIGA KURA.
Haina maana kumpigia mtu kura halafu anauawa. , Anatekwa. , Anapotezwa. , Anaunga mkono juhudi.

Hatufanyi ujinga huo Tena.
Umejiandikisha lini kamanda?
 
 
Kama tulivyoona uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyo na mizengwe na uchaguzi umepita na chama tawala kushinda kwa 99.9% kwa vyama vya upinzani kutoshiriki.

Je uchaguzi mkuu ujao 2020 mizengwe ikiendelea kuchagua wabunge ,madiwani na urais na wapinzani wakasusia tena halafu kukawa na wabunge wa CCM tu bungeni hatima itakuwa nini?
 
1) CCM WATAPITA BILA KUPINGWA

2)UNAWEZA KUWA MWANZO WA KIFO AU KUDHOOFU SANA KWA UPINZANI..

3) WABUNGE WANAOONGEA SASA HIVI WATAKOSA NGUVU YA KUONGEA ,Wataongea wakiwa kama nani?




NEVER MIND POINT ZANGU HAPO JUU MAANA WAPINZANI HAWATAKAA WASUSIE UCHAGUZI MKUU.
 
Wabunge hawawezi kususa ,watakula wapi wamewagomea wenzao wa chini kwa kuwa haiwaumi

State agent
 
Ndugu zangu,

Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.

Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.

Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.

Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Nakuona kwenye ubora wako binti
tapatalk_1567662891357.jpeg
 
Bunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa
Zanzibar vipi,? mbona CUF walisusia uchaguzi feki wa marudio
 
Back
Top Bottom