Uchaguzi 2020 Hakuna Mbunge CHADEMA anayeweza kushauri kugomea uchaguzi mkuu 2020

Suala la maslahi ni mtu yoyote iwe mbunge au yoyote, ila sio maslahi ya siasa chafu. Ufahamu hata wao wanategemea sisi tupige kura ndio washinde, sasa kama sisi wapiga kura wao tumepuuza huo uchaguzi mpaka mazingira ya uchaguzi yawe ya kutenda haki, wao hata wakishiriki ni kupoteza tu muda.
Naomba definition ya maneno yako; " Siasa chafu"
 
Watanzania wamewachoka chadema na sasa wanaona utapeli mkongwe wa chama hiki ,hakuna Mbunge hata mmoja atarudi bungeni 2020

State agent
Labda watanzania ambao ni keyboard warriors kwa ujira wa huku 7 na si vingenevyo. Jipime!
 
Bunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa
Wakati wa bunge la katiba hivi ulikuwa umesha fukuzwa Bavicha na kujiunga na CCM? Zile ziara zako na Mwigulu kila mahali kama spare tyre mlishazianza? Ila ulitumika! Hakika wewe ni shujaa na ulistahili kutunukiwa cheo kwa uvumilivu.
 
Ndugu zangu,

Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.

Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.

Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.

Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.

Usipige ngoma na kucheza mwenyewe inaonekana huwafahamu vizuri wabunge wa cdm au unajifunza kuandika story kama wagombea serekali ya mtaa walikosea kujaza form unafikiri na wao hawajui kama watakosea kujaza form kwa makosa yanayofanana? Kwa hali hiyo unataka mtu amwambi mbunge ajitoe?
 
Watanzania wamewachoka chadema na sasa wanaona utapeli mkongwe wa chama hiki ,hakuna Mbunge hata mmoja atarudi bungeni 2020

State agent

Unaposema watanzania una maana ipi? Au ni wanachama wa cdm au wana ccm? Au ni wote? Fanya majaribio uweke tume huru uhakikishe maneno yako
 
Nani kakudanganya? Wakati ukuta
Ndugu zangu,

Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.

Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.

Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.

Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
 
Uwe unatumia akili kidogo kufikiri. Kwenye bugne la katiba kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha wananchi wanapata katiba Safi wanayoitaka, kwahiyo walilazimika kukaa hump bungeni wakijaribu kuongea nakuwaelimisha wajinga wa CCM ambao Kwa bahati mbaya kwasababu ya ukosefu wa haki, ndio wengi waliokuwako bungeni. Hata hivyo kwasababu nivingumu kuwaelimisha wajinga, hawakuweza kuelewa ndiyo wakangangania upigaji wa kura ili kupitisha ujinga wao, wakijua kwakuwa wao ndo wengi, itapita tu. Kwa mwenye akili asingekubali kushiriki ujinga na uovu huo. Ndipo wote wenye hekima, wanaoangalia mbele wakiwepo Chadema waliamua kutoka nje.
Mbambo haya kama huyajui usichangie kwani unajidhalilisha.
Bunge la Katiba walihudhuria lote wakatoka kipindi cha kupiga kura.Kama posho za vikao wanachukua ndio wanatoka nje sioni wakugoma miaka mitano kamanda.Umeelewa sasa
 
Wakati wa bunge la katiba hivi ulikuwa umesha fukuzwa Bavicha na kujiunga na CCM? Zile ziara zako na Mwigulu kila mahali kama spare tyre mlishazianza? Ila ulitumika! Hakika wewe ni shujaa na ulistahili kutunukiwa cheo kwa uvumilivu.
Kamanda jielekeze kwenye hoja
 
Mama ile mimba ulishajifungua? Ama bado upo kwenye kipindi cha kichefuchefu, kuelekea kujifungua?
 
Ndugu zangu,

Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.

Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.

Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.

Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
Hii ni pande zote. Hata wa CCM hakuna awezaye kufanya hivyo
 
Endelea kufua nguo za watoto wa boss wako, haya yanayoendelea huna uwezo wa kuyaelewa.
Sawa! Si ndiyo maana nimekuomba unifafanulie ili nielewe kinachoendelea mkuu ili nisibaki gizani?

Sasa mambo ya kufua nguo za watoto wa Boss wangu yanakujaje? Wewe mimi hunijui, pemgine mimi ndiye huyo boss je? Utajuaje?

Kuwa mstaarabu na jaribu kuleta jibu lenye uhakika.
 
Rudi shule ukajifunze propaganda, hao wabunge walitoka kwenye bunge la katiba na kulikuwa na hela za kuokota ndio itakuwa hayo usemayo? Uzuri ni kuwa wananchi tumeamua kuwa hatutashiriki ushenzi wowote mpaka uchaguzi uheshimiwe. Kwa hiyo wao nguvu yao ni sisi wapiga kura wao. Ccm wao wanaweza kushiriki maana hawashindi kwa kura za wananchi, bali kupitia madaraka ya rais kwa nafasi yake ya ukuu wa dola.
Wakati wa binge la katiba Wakudadavuwa alikuwa people’s power
 
Shetani unafurahia kunywa damu za watu! Inakupa raha sana, eti?
Ndugu zangu,

Ikitokea mtu awe kiongozi au mwana-CHADEMA akamshauri Mbowe na wabunge wake wagomee uchaguzi mkuu 2020 ajiandae kufukuzwa au watagawana mbao na kukizika chama.

Siasa ni ajira na wengi ni wachumia tumbo sasa itakapotokea eti mtu kwa mfano anamshauri Lema au Mbowe kutogombea ubunge mwaka 2020 ajiandae kuitwa msaliti. Uongozi wa Chadema umeamua kuweka mpira kwapani kwa sababi hakuna mtu kwenye kamati kuu ambaye ni mgombea hivyobasi wajumbe wa KK na wabunge hawana maslahi binasfi na uchaguzi huu.

Nimalize tu kwa kusema kuwashauri Mbowe na wabunge wengine Chadema kugomea uchaguzi mkuu 2020 ni sawa na ''kumnyang'anya tonge mwenye njaa'' ama zako ama zao.

Ukweli huchukiwa lakini lazima usemwe.
 
Back
Top Bottom