Hakuna mawasiliano ya kiroho kati ya wafu

Niliwahi kufika Kaole Bagamoyo kule kwenye makumbusho... Pale kuna kaburi moja maarufu sana...










Wamezikwa watu wawili kwa pamoja mke na mume ambao walipendana sana kiasi kwamba walikufa pamoja...
Roho ndio nishati ya mwili, yaani ndio pumzi ya uzima kwenye mwili... Bila roho mwili ni mfu na haukawii kuharibika... Kati ya hivi vitu viwili, roho na mwili kuna kitu cha tatu ambacho ni nafsi ama utambulisho... Nafsi ni matokeo ya muunganiko wa roho na mwili... Nafsi ndio software ya uhai inayobeba muktadha na miamala yote kwenye mwili wenye roho kuanzia, kuweka kumbukumbu, kupanga jambo, kutoa maamuzi, hisia nk nk.... Nje ya nafsi kwenye utenganisho wa mwili na roho hakuna kinachoendelea
Kwenye vitabu vya kiimani, kwenye kipengele cha mahusiano na ndoa hasa kwa wakristo.. Kuna maneno yanasema... NITAKUPENDA HADI KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA....
Mapenzi ni hisia... Hisia huzaliwa, hukua, huzeeka na hatimaye hukoma kuwa yaani hufa.. Yaani hisia zikifa wawili hutengana na kuachana... Lakini kama bado wako hai kuna wakati hukumbukana, ndio maana baadhi hurudiana...
Hii ni tofauti kabisa kwenye KIFO... Mwisho wa mawasiliano yenu kihisia ama kindugu ni kifo... Roho zinapofikia ukomo wake mwilini na kusema hakuna mawasiliano tena... Kila moja huchukua njia yake kwenye vast galaxy... Ulimwengu mpana usio na kikomo....
Hii inathibitishwa pia kwenye mambo ya kiimani kwamba hata huko mbinguni, peponi au jehanum hakuna featuring wala mawasiliano yoyote... Kila roho inasimama yenyewe
Codes zote za kifamilia, kirafiki, ndugu na mahusiano mengine yoyote yale hukatika na kukoma kuwa pale ufu unapotamalaki... Reincarnation pia inatoa ithibati zinazofanana na hizo... Simulizi zote za reincarnation sio kati ya roho na roho bali kati ya mwili wenye roho na roho na kinyume chake...
Simulizi za ndoto za kutokewa na marehemu ni kati ya mwili wenye roho na roho... Hakuna hata siku moja mtu alishawahi kutokewa ndotoni na wapendwa wote wawili kwa wakati mmoja mfano wazazi na wakakwambia kwa pamoja huko waliko kukoje ama kuna nini...
Mara nyingi kama si zote utatokewa na mmoja tuu tena katika vague image kwakuwa yeye si mtu kamili tena... Kiubinadamu tu na katika bali ya kuoneshana upendo mtaahidiana kupendana milele lakini kiuhalisia ni kudanganyana live kwakuwa mwisho wa mawasiliano yenu ni KIFO... Baada ya hapo hakuna kitu tena....
[/QUO
Mshana Mkuu nitakuja PM siku moja tubadilishane Mawazo hasa haya mambo
 
YOU will be greeted by your deceased loved ones when you die, according to these people who claim to have briefly passed over to the afterlife.
One person, Virginie R, from France, said that she was greeted by her little brother who did of leukaemia when he was 12.
Without giving away how Virginie suffered her near death experience (NDE), she said: “I was advancing towards a white light, at the end of this Passing into or through a tunnel, which was very bright.
My little brother Philippe, who died 12 years before, took me by the hand and was smiling to me while taking me in front of the light. A strong, but not nasty voice, asked me why I wanted to die.
“I answered that the absence of my little brother was too hard for me, and that my mother felt resentful towards me because of Philippe's death.”
Another person, William C who was almost fatally injured in a car crash, gave a similar account, saying: “I looked in front of me and saw my deceased grandmother. She was standing just in front of the 'White Light.'
“The light radiated warmth, light, love and anything I needed to know. I also noticed other figures off to the left of me.
“They seemed peaceful in pairs holding each other and swaying with the music. My grandmother delivered the choice to me. I could stay with her or go back to my life.
“She told me that if I stayed, everything would be OK. She said that if I went back to my body, it would be the most challenging experience I would ever endure.”
Lauren K, who was hit by a car, said: “I left my body and went into an aura of all white light! It was totally warm and Peaceful, pure Love emanating through me and around me.
At that moment, my Grandfather, who had passed away earlier that year, appeared to me and we embraced. ‘My darling, you have a decision to make.’
“I knew the decision was to stay or to come back. At that moment, I had an opportunity to view my life.”
 
YOU will be greeted by your deceased loved ones when you die, according to these people who claim to have briefly passed over to the afterlife.
One person, Virginie R, from France, said that she was greeted by her little brother who did of leukaemia when he was 12.
Without giving away how Virginie suffered her near death experience (NDE), she said: “I was advancing towards a white light, at the end of this Passing into or through a tunnel, which was very bright.
My little brother Philippe, who died 12 years before, took me by the hand and was smiling to me while taking me in front of the light. A strong, but not nasty voice, asked me why I wanted to die.
“I answered that the absence of my little brother was too hard for me, and that my mother felt resentful towards me because of Philippe's death.”
Another person, William C who was almost fatally injured in a car crash, gave a similar account, saying: “I looked in front of me and saw my deceased grandmother. She was standing just in front of the 'White Light.'
“The light radiated warmth, light, love and anything I needed to know. I also noticed other figures off to the left of me.
“They seemed peaceful in pairs holding each other and swaying with the music. My grandmother delivered the choice to me. I could stay with her or go back to my life.
“She told me that if I stayed, everything would be OK. She said that if I went back to my body, it would be the most challenging experience I would ever endure.”
Lauren K, who was hit by a car, said: “I left my body and went into an aura of all white light! It was totally warm and Peaceful, pure Love emanating through me and around me.
At that moment, my Grandfather, who had passed away earlier that year, appeared to me and we embraced. ‘My darling, you have a decision to make.’
“I knew the decision was to stay or to come back. At that moment, I had an opportunity to view my life.”
YOU will be greeted by your deceased loved ones when you die, according to these people who claim to have briefly passed over to the afterlife.
 
Msinikumbushe siku niliyouguza ndugu yangu wa kiume dakika chache kabla hajafariki aliniita akataka kuniambia kitu sasa kulikuwa na watu wengi nikamwambia baadae mwisho akakata kauri nikawaza sijui alikuwa anataka kuniambia nini?
 
Kila kitu kwenye maisha ni kujifunza hata siku ya kufa tunapaswa kujifunza tunakufaje, roho inatokaje na mengineyo. Thanks Mshana kwa mafundisho yanayofikirisha
 
Niliwahi kufika Kaole Bagamoyo kule kwenye makumbusho... Pale kuna kaburi moja maarufu sana... Wamezikwa watu wawili kwa pamoja mke na mume ambao walipendana sana kiasi kwamba walikufa pamoja...
Roho ndio nishati ya mwili, yaani ndio pumzi ya uzima kwenye mwili... Bila roho mwili ni mfu na haukawii kuharibika... Kati ya hivi vitu viwili, roho na mwili kuna kitu cha tatu ambacho ni nafsi ama utambulisho... Nafsi ni matokeo ya muunganiko wa roho na mwili... Nafsi ndio software ya uhai inayobeba muktadha na miamala yote kwenye mwili wenye roho kuanzia, kuweka kumbukumbu, kupanga jambo, kutoa maamuzi, hisia nk nk.... Nje ya nafsi kwenye utenganisho wa mwili na roho hakuna kinachoendelea
Kwenye vitabu vya kiimani, kwenye kipengele cha mahusiano na ndoa hasa kwa wakristo.. Kuna maneno yanasema... NITAKUPENDA HADI KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA....
Mapenzi ni hisia... Hisia huzaliwa, hukua, huzeeka na hatimaye hukoma kuwa yaani hufa.. Yaani hisia zikifa wawili hutengana na kuachana... Lakini kama bado wako hai kuna wakati hukumbukana, ndio maana baadhi hurudiana...
Hii ni tofauti kabisa kwenye KIFO... Mwisho wa mawasiliano yenu kihisia ama kindugu ni kifo... Roho zinapofikia ukomo wake mwilini na kusema hakuna mawasiliano tena... Kila moja huchukua njia yake kwenye vast galaxy... Ulimwengu mpana usio na kikomo....
Hii inathibitishwa pia kwenye mambo ya kiimani kwamba hata huko mbinguni, peponi au jehanum hakuna featuring wala mawasiliano yoyote... Kila roho inasimama yenyewe
Codes zote za kifamilia, kirafiki, ndugu na mahusiano mengine yoyote yale hukatika na kukoma kuwa pale ufu unapotamalaki... Reincarnation pia inatoa ithibati zinazofanana na hizo... Simulizi zote za reincarnation sio kati ya roho na roho bali kati ya mwili wenye roho na roho na kinyume chake...
Simulizi za ndoto za kutokewa na marehemu ni kati ya mwili wenye roho na roho... Hakuna hata siku moja mtu alishawahi kutokewa ndotoni na wapendwa wote wawili kwa wakati mmoja mfano wazazi na wakakwambia kwa pamoja huko waliko kukoje ama kuna nini...
Mara nyingi kama si zote utatokewa na mmoja tuu tena katika vague image kwakuwa yeye si mtu kamili tena... Kiubinadamu tu na katika bali ya kuoneshana upendo mtaahidiana kupendana milele lakini kiuhalisia ni kudanganyana live kwakuwa mwisho wa mawasiliano yenu ni KIFO... Baada ya hapo hakuna kitu tena....
Umesema kwamba 'nafsi' ni matokeo ya muunganiko wa roho na mwili. Swali: roho inapotengana na mwili (mwili kuharibika), nafsi nayo inatoweka?
 
Ni kweli kabisa mtu akifa mchezo umeishia hapo hakuna kinachoendelea.

Lakini kiongozi kuna kitu nakifikiriaga sana ni kwamba Mtu akifa kwa wakati wake huyo Roho yake hupumzika ama huenda kwenye kiumbe kipya kinachozaliwa na kama mtu atakufa kabla ya wakati wake basi hiyo roho yake itataabika sana kutafuta makazi na pengine kuanza kusumbua familia ilikokuwa
Unaweza kunipa ufafanuzi kidogo wa hizi fikra zangu ama ni potofu tu
 
Niliwahi kufika Kaole Bagamoyo kule kwenye makumbusho... Pale kuna kaburi moja maarufu sana... Wamezikwa watu wawili kwa pamoja mke na mume ambao walipendana sana kiasi kwamba walikufa pamoja...
Roho ndio nishati ya mwili, yaani ndio pumzi ya uzima kwenye mwili... Bila roho mwili ni mfu na haukawii kuharibika... Kati ya hivi vitu viwili, roho na mwili kuna kitu cha tatu ambacho ni nafsi ama utambulisho... Nafsi ni matokeo ya muunganiko wa roho na mwili... Nafsi ndio software ya uhai inayobeba muktadha na miamala yote kwenye mwili wenye roho kuanzia, kuweka kumbukumbu, kupanga jambo, kutoa maamuzi, hisia nk nk.... Nje ya nafsi kwenye utenganisho wa mwili na roho hakuna kinachoendelea
Kwenye vitabu vya kiimani, kwenye kipengele cha mahusiano na ndoa hasa kwa wakristo.. Kuna maneno yanasema... NITAKUPENDA HADI KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA....
Mapenzi ni hisia... Hisia huzaliwa, hukua, huzeeka na hatimaye hukoma kuwa yaani hufa.. Yaani hisia zikifa wawili hutengana na kuachana... Lakini kama bado wako hai kuna wakati hukumbukana, ndio maana baadhi hurudiana...
Hii ni tofauti kabisa kwenye KIFO... Mwisho wa mawasiliano yenu kihisia ama kindugu ni kifo... Roho zinapofikia ukomo wake mwilini na kusema hakuna mawasiliano tena... Kila moja huchukua njia yake kwenye vast galaxy... Ulimwengu mpana usio na kikomo....
Hii inathibitishwa pia kwenye mambo ya kiimani kwamba hata huko mbinguni, peponi au jehanum hakuna featuring wala mawasiliano yoyote... Kila roho inasimama yenyewe
Codes zote za kifamilia, kirafiki, ndugu na mahusiano mengine yoyote yale hukatika na kukoma kuwa pale ufu unapotamalaki... Reincarnation pia inatoa ithibati zinazofanana na hizo... Simulizi zote za reincarnation sio kati ya roho na roho bali kati ya mwili wenye roho na roho na kinyume chake...
Simulizi za ndoto za kutokewa na marehemu ni kati ya mwili wenye roho na roho... Hakuna hata siku moja mtu alishawahi kutokewa ndotoni na wapendwa wote wawili kwa wakati mmoja mfano wazazi na wakakwambia kwa pamoja huko waliko kukoje ama kuna nini...
Mara nyingi kama si zote utatokewa na mmoja tuu tena katika vague image kwakuwa yeye si mtu kamili tena... Kiubinadamu tu na katika bali ya kuoneshana upendo mtaahidiana kupendana milele lakini kiuhalisia ni kudanganyana live kwakuwa mwisho wa mawasiliano yenu ni KIFO... Baada ya hapo hakuna kitu tena....
Sio ukwel
 
Ni kweli kabisa mtu akifa mchezo umeishia hapo hakuna kinachoendelea.

Lakini kiongozi kuna kitu nakifikiriaga sana ni kwamba Mtu akifa kwa wakati wake huyo Roho yake hupumzika ama huenda kwenye kiumbe kipya kinachozaliwa na kama mtu atakufa kabla ya wakati wake basi hiyo roho yake itataabika sana kutafuta makazi na pengine kuanza kusumbua familia ilikokuwa
Unaweza kunipa ufafanuzi kidogo wa hizi fikra zangu ama ni potofu tu
Hapa unazungumzia pepo na jehanum.... Roho zenye mahangaiko ndio hugeuka mapepo na kusumbua... Hizi haziko kuzimu tena bali hutangatanga huku na kule zikitafuta kikao ama makazi.... Hii ni dhana ya jehanum
Zile roho zilizotulia kuzimu, hazina mahangaiko yoyote kwakuwa ziko kwenye dormance state.. Hii ndio dhana ya PEPONI"
 
Mshana jr nasikia uliienda kuzimu bhana kwa kutumia. Astral projection na ukarudi ebu tupe experience yako
Hapa unazungumzia pepo na jehanum.... Roho zenye mahangaiko ndio hugeuka mapepo na kusumbua... Hizi haziko kuzimu tena bali hutangatanga huku na kule zikitafuta kikao ama makazi.... Hii ni dhana ya jehanum
Zile roho zilizotulia kuzimu, hazina mahangaiko yoyote kwakuwa ziko kwenye dormance state.. Hii ndio dhana ya PEPONI"
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom