HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,733
- 5,553
Huu ujinga wanaotaka kuufabya utagharimu wengi, haiwezekani nimeacha kazi na michango yangu mbaki nayo nyinyi mpaka niwe babu? Wakitaka kukaa na hela zetu watulipe faida watakayoipata kwenye biashara wanazofanyia hela zetu, mfano kwenye majengo waliyojenga nikitaka frem au chumba wanipe tukatane kwenye hela yangu