Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,954
- 22,125
Kuna mabasii wanajiitaa mabasii ya vigogoo bilaa aibuu yanatokambezi yameandika kwenda Kawe
Yanabeba abiria njiani mwishooo mawasiliano
Yanageuka nakurudi NA abiria wa Mbezi..
Ukipigakelele wanakwambia unajuamagari yanani haya traffic wanayaheshimuu hawana adabuu kabisa
Baadhii ya matraffic wanayajua walewapale ubungo wa Sumatra tunaomba mfeatilie hii ni dharau
Wawe na heshima kwa wananchi haijalishi magari ni ya nanii
TT474 ABD-MBEZI MSATA
LIKO MAWASILIANO KUFANYA NINI
GARI T 356 ANV
MBEZI KAWE LIMEGEUKA MAWASILIANO MUDA HUU BADALA YA KWENDA KAWE.. HILI KONDA WAKE ANASEMA KABISA NENDA POPOTE AISEE...
Ahsanteni
Yanabeba abiria njiani mwishooo mawasiliano
Yanageuka nakurudi NA abiria wa Mbezi..
Ukipigakelele wanakwambia unajuamagari yanani haya traffic wanayaheshimuu hawana adabuu kabisa
Baadhii ya matraffic wanayajua walewapale ubungo wa Sumatra tunaomba mfeatilie hii ni dharau
Wawe na heshima kwa wananchi haijalishi magari ni ya nanii
TT474 ABD-MBEZI MSATA
LIKO MAWASILIANO KUFANYA NINI
GARI T 356 ANV
MBEZI KAWE LIMEGEUKA MAWASILIANO MUDA HUU BADALA YA KWENDA KAWE.. HILI KONDA WAKE ANASEMA KABISA NENDA POPOTE AISEE...
Ahsanteni