Mhabarishaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 1,006
- 598
Kweli kabisa!! Kila mtu anayeipenda CCM, ndani yake hana Mungu!!!!! Huwezi ukawa na Mungu, halafu ukaipenda CCM !!!!
Watanzania tumelaaniwa, na aliyetulaani amekufa!, hivyo tutaendlea kuchagua laana!, na 2015, tutaichagua tena!.Ccm ni chama chenye laana hivyo kukichagua ni kuchagua.
Then Watanzania wengi zaidi ndio tutakuwa ni washetani!, kama walio washetani ndio wengi zaidi na kila siku wanairudisha CCM madarakani, then mwenye nguvu zaidi atakuwa ndio ?!.Kweli kabisa!! Kila mtu anayeipenda CCM, ndani yake hana Mungu!!!!! Huwezi ukawa na Mungu, halafu ukaipenda CCM !!!!
Mkuu ccm itaendelea kushinda... Maana upinzani hasa cdm hawaoneshi juhudi zozote kwenye swala la kutengeneza wapiga kura na maswala ya kura kwa ujumla...
Sio wananchi wanaowaingiza madarakani bari wanaiba kura na wanachakachua maoni ya watu.mfano wa jaji warioba ni maoni ya wananchi sio yako.funguka kwa manufaa ya underground kids.Then Watanzania wengi zaidi ndio tutakuwa ni washetani!, kama walio washetani ndio wengi zaidi na kila siku wanairudisha CCM madarakani, then mwenye nguvu zaidi atakuwa ndio ?!.
Pasco
Watanzania tumelaaniwa, na
aliyetulaani amekufa!, hivyo tutaendlea kuchagua laana!, na 2015,
tutaichagua tena!.
Pasco
mmhh huu uzi ni mzuri ila sina hakika kama utafika kesho asubuhi.
Hakuna juhudi kwenye maswala yanayohusiana na kura na upigaji kura kwa ujumla..mimi naongea maana nimeshiriki kidogo kwenye cdm ni msingi..kuna juhudi za kupata wanachama nk..lkn hakuna juhudi ya kutathimini na kuhangaika kutengeneza mikakati ya mambo ya kura kwa ujumla..hata kitaifa sioni cdm ikiangaikia swala la kura...mfano chalinze chadema haikuwa na wapigakura..nini kinafanyika chalinze baada ya uchaguzi mdogo kufanya tathimini na kujua wapiga kura watapatikana wapi..sijui labda wewe unajua...mm naipenda cdm sana ila sina uhakika kama itashinda..maana naona ina wafiasi na wakereketwa wanaoikubali ila sidhani kama inawapiga kurahivi juhudi zote hizi wanazozifanya makamanda huzioni ? Au unataka cdm nayo ianze kununua wananchi ?
Kuna vifo vya utata tangu enzi za mwalimu hadi enzi hizi... wtanzania kwa ujinga wao wanaendelea kuwashiriki mauaji hayo kwa kuwarudisha madarakani watawala hao ingawa wanajua fika kuwa mikono yao imejaa damu. Kitendo hicho ni sawa na kusema 'damu za hao waliouwawa ziwe juu yetu na juu ya watoto wetu'.... madhara ya hizo damu zisizo na hatia kila mmoja kwa nafasi yake anayaonja.Then Watanzania wengi zaidi ndio tutakuwa ni washetani!, kama walio washetani ndio wengi zaidi na kila siku wanairudisha CCM madarakani, then mwenye nguvu zaidi atakuwa ndio ?!.
Pasco