mkuu this time tume imejitahidi sana kufanya kazi zao za msingi kwa kufuata taratibu na sheria za msingi kabisa
tatizo ni namna ya kutoa matokeo kwa utaratibu wa kompyuta ndio ulioleta ucheleweshaji usio na lazima
in general
hakukuwa na uchakachuaji wowote, hao wote wanao lalama hawana ushahidi wowote strong zaidi ya hisia tu
kwenye mikoa yenye maendeleo wa2 ni wasomi, na wasingekubal dhulma hiyo. hivyo walisimama kidete kulinda haki yao, ndio mana walishndwa kuchakachua. km huwez kuelewa ndo tunakuonesha picha hivyo.
kwenye mikoa yenye maendeleo wa2 ni wasomi, na wasingekubal dhulma hiyo. hivyo walisimama kidete kulinda haki yao, ndio mana walishndwa kuchakachua. km huwez kuelewa ndo tunakuonesha picha hivyo.
kwenye mikoa yenye maendeleo wa2 ni wasomi, na wasingekubal dhulma hiyo. hivyo walisimama kidete kulinda haki yao, ndio mana walishndwa kuchakachua. km huwez kuelewa ndo tunakuonesha picha hivyo.