kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Yule bwana (Lowassa) alimuuliza Kikwete, mnataka kunipa barua kwa kosa lipi? Nimefanya nini? Nini ambacho wewe hukifahamu, anasema mtoa taarifa wa MwanaHALISI"
Huyu bwana anaua chama. Nakuhakikishia mzee Kisumo, hawa watu wakiendelea kunishutumu bila sababu, nitatoka hadharani na kujibu mapigo, anaeleza mtoa taarifa akimnukuu Lowassa katika mazungumzo yake na Kisumo.
Naye Kisumo anaripotiwa kumhoji Lowassa, Mbona ninyi marafiki wawili mnataka kusambaratisha chama? Naye Lowassa alijibu, Kheri iwe hivyo
Huyu bwana anaua chama. Nakuhakikishia mzee Kisumo, hawa watu wakiendelea kunishutumu bila sababu, nitatoka hadharani na kujibu mapigo, anaeleza mtoa taarifa akimnukuu Lowassa katika mazungumzo yake na Kisumo.
Naye Kisumo anaripotiwa kumhoji Lowassa, Mbona ninyi marafiki wawili mnataka kusambaratisha chama? Naye Lowassa alijibu, Kheri iwe hivyo