SuperImpressor
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,504
- 646
Inasemekana kwamba kwa sasa M-Pesa MasterCard inapoExpire hakuna tena kuiendeleza kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma, na hii ni baada ya kujaribu kuiendeleza Card yangu iliyoExpire baada ya mwezi wa tisa kuisha, na majibu yalikuwa hivi, "your card has been un-suspended successfully" lakini nilipojaribu kuweka hela majibu yaliyokuja ni kwamba "Your Card is expired"
Nikachukua hatua ya kuwasiliana na huduma kwa wateja nikaambiwa hivi,
"Pole sana kwa hilo. Tunapenda kukufahamisha kwamba kadi ikiisha muda wake hauwezi kuiendeleza bali unatakiwa ufungue kadi mpya na kama kadi ya zamani ilikua ina hela unatakiwa kuzihamisha zote. ^OM"
Kuna swali niliuliza lakini mtoa huduma bado hajasoma meseji.
Sasa naomba kuuliza;
Kama mtu alifanya manunuzi mtandaoni lakini mzigo haukufika na muuzaji akataka kumrudishia hela itakuwaje? Je utaipataje hela yako na wakati kadi ime expire?
Sent from my cupboard using mug
Nikachukua hatua ya kuwasiliana na huduma kwa wateja nikaambiwa hivi,
"Pole sana kwa hilo. Tunapenda kukufahamisha kwamba kadi ikiisha muda wake hauwezi kuiendeleza bali unatakiwa ufungue kadi mpya na kama kadi ya zamani ilikua ina hela unatakiwa kuzihamisha zote. ^OM"
Kuna swali niliuliza lakini mtoa huduma bado hajasoma meseji.
Sasa naomba kuuliza;
Kama mtu alifanya manunuzi mtandaoni lakini mzigo haukufika na muuzaji akataka kumrudishia hela itakuwaje? Je utaipataje hela yako na wakati kadi ime expire?
Sent from my cupboard using mug