Demu wangu mpya hatakaki tufanye mapenzi eti hadi tufunge,ndoa,nikamuuliza kama ni bikira,aksema ni mipango ya Mungu
dah hapa sijielewi,au ndivyo illivyo?
Demu wangu mpya hatakaki tufanye mapenzi eti hadi tufunge,ndoa,nikamuuliza kama ni bikira,aksema ni mipango ya Mungu
dah hapa sijielewi,au ndivyo illivyo?
<font size="3"><span style="font-family: franklin gothic medium">Huyu mpya umeanza nae lini? Watu huwa hawaombi kufanya mapenzi,huwa inatokea tu.
We unachemka kukimbilia kuomba mechi
Kipi kikuchekecheshacho?bora nicheke tu
mmekutana wote wajanja.Kipi kikuchekecheshacho?
<font size="3">lakini ni lazma atestiwe kwanza kabla ya kuanza nae safari..................huh
Lakini hata nguo yenyewe hujaribiwa hata kama umeiona ni saiz yakommekutana wote wajanja.