GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,873
Israeli siku zote habipiwi na ukimbipu tu anapiga hapo hapo.
Nasisitiza tena kwamba " hakuna kitu kizuri duniani kama kusikia ushauri kutoka hata kwa wale ambao unawadharau ".
Maisha ni 50 / 50 ila kikubwa ni kusali sana na kufanya toba mno ili hata Israeli akikupigia huna cha kulaumu ukifika Mbinguni Kuume kwa Baba Mungu.
Tuwe na Kiasi na umakini mno hasa tunapokuwa hapa duniani na Wanadamu tujenge tabia ya kuwatembelea sana Wagonjwa huko Mahospitalini ili na Wao waweze kufarijika na kuona tupo nao katika shida na raha.
Masikitiko yetu / Furaha zetu hapa duniani ziwe ni darasa tosha kutufanya tuwe na Hekima na Busara kuliko kutufanya tuwe Jeuri na Wakaidi halafu mwishoni tukaja kujuta.
Haya yote nimeyaota muda huu huu tu wa mchana ambapo nililala kidogo kwa Saa 1 na nusu nikasema si vibaya nikishea nanyi nilichokiota kwani nahisi kitatufaa wengi wetu.
Akhsanteni.
Nasisitiza tena kwamba " hakuna kitu kizuri duniani kama kusikia ushauri kutoka hata kwa wale ambao unawadharau ".
Maisha ni 50 / 50 ila kikubwa ni kusali sana na kufanya toba mno ili hata Israeli akikupigia huna cha kulaumu ukifika Mbinguni Kuume kwa Baba Mungu.
Tuwe na Kiasi na umakini mno hasa tunapokuwa hapa duniani na Wanadamu tujenge tabia ya kuwatembelea sana Wagonjwa huko Mahospitalini ili na Wao waweze kufarijika na kuona tupo nao katika shida na raha.
Masikitiko yetu / Furaha zetu hapa duniani ziwe ni darasa tosha kutufanya tuwe na Hekima na Busara kuliko kutufanya tuwe Jeuri na Wakaidi halafu mwishoni tukaja kujuta.
Haya yote nimeyaota muda huu huu tu wa mchana ambapo nililala kidogo kwa Saa 1 na nusu nikasema si vibaya nikishea nanyi nilichokiota kwani nahisi kitatufaa wengi wetu.
Akhsanteni.