kulikuwa na haja gani ya kuweka hayo maneno kwenye red?jamani,me mwenzenu nina hii hali huu ni mwaka wa 10 sasa,kuna dada nampenda sana but suprisingly yeye anampenda mtu mwingine.nisaidieni mawazo mwenzenu niondokane na hii hali wakuu.
jamani,me mwenzenu nina hii hali huu ni mwaka wa 10 sasa,kuna dada nampenda sana but suprisingly yeye anampenda mtu mwingine.nisaidieni mawazo mwenzenu niondokane na hii hali wakuu.
kulikuwa na haja gani ya kuweka hayo maneno kwenye red?
Na kila siku ndipo mtu anapokosaga msadaa halafu ooh mikosi.Hapo sasa_eti anapenda mtu asiyempenda halafu anashangaa_mmmmmmh,....watu kweli tumetofautiana saaaaaaaaaana