Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,120
Habari!
Je,umewahi kufanya kazi na mtu mpenda sifa? Hawa maofisini tunawaita kazi kunoga, jeshini tunawaita majeshi kumbwitu, au majeshi K.
Hawa watu huwa ni wapenda sifa, usiombe wawe juu yako halafu amekuja boss wa juu kuwatembelea.
Hawa watu wako tayari wakuroge ili wao ndio wawe na kauli, hii hutokea wanapoona umekuwa na cheo kikubwa zaidi yao mko katika kazi moja.
Hawa watu sifa wanazipenda kuliko hata Pesa. Wako tayari kufanya kazi yoyote ilimradi tu itawapa sifa hata kama haiwahusu au haina malipo.
Hapa kazini tunaye mmoja, anaboa sana.
Je,umewahi kufanya kazi na mtu mpenda sifa? Hawa maofisini tunawaita kazi kunoga, jeshini tunawaita majeshi kumbwitu, au majeshi K.
Hawa watu huwa ni wapenda sifa, usiombe wawe juu yako halafu amekuja boss wa juu kuwatembelea.
Hawa watu wako tayari wakuroge ili wao ndio wawe na kauli, hii hutokea wanapoona umekuwa na cheo kikubwa zaidi yao mko katika kazi moja.
Hawa watu sifa wanazipenda kuliko hata Pesa. Wako tayari kufanya kazi yoyote ilimradi tu itawapa sifa hata kama haiwahusu au haina malipo.
Hapa kazini tunaye mmoja, anaboa sana.