Hakuna kitu kinachoniudhi kama kuwapa wageni tenda badala ya wazawa

Engineer wa UDSM umpe mradi mkubwa hahaha, nchi yetu inatoa VILAZA tu hata kile kipande walichomsifia Mfugale, ulikuwa ukipita wajapani wapo kutwa. Wabongo tunaweza uongo na majungu, sio construction za maana.
Maktaba mpya ya UDSM wamejenga wachina, ma engineers wa UDSM wapo.
Sasa uwakute huko bar kujisifia hahaha.
 
Mbn ni kawaida maana wao wanatoa misaada mfn kujenga hizo barabara ila kwenye masharti ni kwamba ma engineer wakuu walete wao, vifaa wao so mnakuja kujikuta mkilipa mkopo mnalipa na gharama za hao ma engineer na vifaa so wanapanda kiuchumi.


WANA AKILI SANA HAWA WATU.
Nakukopesha pesa ununue T.v, lakini pia ni lazima uinunue kwangu, je ndio unachokusudia mkuu?
 
Miradi yote ya barabara msimamizi Mkuu ni TANROADS anayehakikisha Barabara zinajengwa kwa ubora ni TANROADS sasa ulishawahi sikia TANROADS imeajiri Mchina? Kama hujuwi taratibu za mikataba ya ujenzi uliza wataalamu uelimishwe, nimeamini wabongo wengi hawana uelewa wa mambo ni wajanja wajanja wa mitaani tu tofautisha mishemishe za mtaani na kazi za kitaluma .
 
safari hii kidogo wamepata kazi ila kiukweli hawa wahandisi wameajiriwa na watu wasio na taaluma hiyo ndo ma contractor wao wanatoa ujuzi tu.
bado safri ndefu ila watafika tu ni sawa kuwa na mtu mwenye MBA halafu ana CPA lakini bado kaajiriwa na kashindwa kutengeneza kazi kiukweli wanasheria wanajitahidi kwa kujiajiri labda ni kwasababu ndio ilikuwa degree ya kwanza kutolewa tanzania pale Lumumba.
Kupiga mihuri nayo kazi kiongoz au ni waste of energy
 
Si kwamba hapa Tanzania hakuna Wahandisi na Wakandarasi ambao wanaweza kujenga miradi mikubwa kama wa hapo Ubungo unaojengwa.

Kuna sababu kadhaa kwa nini hali iko hivyo

1. Serikali inajenga miradi mikubwa kwa msaada, masharti ya msaada mara nyingi unakuta wahisani wnachagua wenyewe Mkandarasi.

2. Makampuni ya Kigeni yana mitaji mikubwa na yanafanyiwa lobbying na serikali zao kiasi kwamba yakiingia katika zabuni za wazi na makampuni ya Wazawa inakuwa rahisi kwa wageni kushinda.

3. Kuna udhaifu wa kusimamia kanuni, mfano kuna Makampuni ya Wachina yamejibadilisha kuwa Local kwa kuuza baadhi ya hisa zake kwa wazawa na hivyo kufanya kazi ambazo kimsingi zilitakiwa kufanywa na wazawa.

4. Hakuna msukumo wa Serikali kuwasaidia Wahandisi na Wakandarasi wazawa katika kupata kazi, Serikali kwa sasa inafanya miradi yake kupitia Wakala zake kama TBA kwa miradi ya kati, Miradi mikubwa inapitia juu kwa juu kama SGR, Stieglers gorge n.k, na miradi midogo wanatumia Local fundi
 
Mi naona sio tu masharti ya mikataba.
Maana tunaona hata tarura na hizi manispaaa miradi ya ujenzi huwapa wachina.

Inasikitisha kuona hatuiamini elimu tunayoitoa sisi wenyewe na watahiniwa wetu.
Sijui tufanyeje kujinasua na hili hela zetu zinaenda nje tu.
 
Juzi nimerudi kutoka Pakistan,Leo nikawa naelekea mbezi kwa nigga wangu mmoja hivi,nafika pale ubungo naona Kuna ujenzi wa barabara mpya cha kusikitisha tenda inasimamiwa na mchina,hivi engineers wabongo wako wapi??? Hawa graduates wa mlimani wanashindwa hata kujenga barabara??? This country is f**** up, foolish

Matrilioni ya pesa ya ujenzi watayapata wapi??
 
Juzi nimerudi kutoka Pakistan,Leo nikawa naelekea mbezi kwa nigga wangu mmoja hivi,nafika pale ubungo naona Kuna ujenzi wa barabara mpya cha kusikitisha tenda inasimamiwa na mchina,hivi engineers wabongo wako wapi??? Hawa graduates wa mlimani wanashindwa hata kujenga barabara??? This country is f**** up, foolish
Wape mitaji
 
Kwa kweli inasikitisha kipindi barabara ya mwendo kasi ya ubungo inajengwa wandisi wetu waliambiwa wawe makini kuiba utaaramu ili zilizo baki wajenge wazawa
Lakini cha kushangaza mwendo kasi inayotaka kujengwa ya Gerezani kwenda Mbagala nayo wamepewa wachina
 
Juzi nimerudi kutoka Pakistan,Leo nikawa naelekea mbezi kwa nigga wangu mmoja hivi,nafika pale ubungo naona Kuna ujenzi wa barabara mpya cha kusikitisha tenda inasimamiwa na mchina,hivi engineers wabongo wako wapi??? Hawa graduates wa mlimani wanashindwa hata kujenga barabara??? This country is f**** up, foolish
wewe ni gaidi au MUUZA nganda?
 
Mbn ni kawaida maana wao wanatoa misaada mfn kujenga hizo barabara ila kwenye masharti ni kwamba ma engineer wakuu walete wao, vifaa wao so mnakuja kujikuta mkilipa mkopo mnalipa na gharama za hao ma engineer na vifaa so wanapanda kiuchumi.


WANA AKILI SANA HAWA WATU.
kumbuka engineer wao akivurunda ajue kaweka rehani uhai wake
 
Back
Top Bottom