- Thread starter
- #21
Una umri gani mkuu
Una umri gani mkuu
Kasema tajiri Mfuruki sio maneno yangu
Hao matajiri wana Siri ambayo hawawezi kukuambia kamweKasema tajiri Mfuruki sio maneno yangu
pole cute je umeweka malengo na je hapounapotafutia unafikiri ni mahali sahihi ~Michael The GreatHahahaha Yani Kuna vitu serious navipitia kwenye familia halafu mm ndo mkubwa nashindwa kuvisolve
Nimepoteza ndgu na jamaa wa familia sababu tu ya umaskini ya kukosa pesa ya kugharamia matibabu...nauchukia umaskini natafuta usiku na mchana lakini mambo ni magumu
Hawa matajiri wamefanyaje?
pole cute je umeweka malengo na je hapounapotafutia unafikiri ni mahali sahihi ~Michael The Great[/QUO
Una maanisha nn Michael
Unamaanisha Nini Michaelpole cute je umeweka malengo na je hapounapotafutia unafikiri ni mahali sahihi ~Michael The Great
umesema unatafuta usiku na mchana na sasa unaona giza tu haupati unachokitaka maswali muhimu nimekuuliza kwambaUnamaanisha Nini Michael
Ndugu dinia hii sidhani Kama mtu Hana malengo, tatzo ni mambo hayaendiumesema unatafuta usiku na mchana na sasa unaona giza tu haupati unachokitaka maswali muhimu nimekuuliza kwamba
- umeweka malengo cute ?
- je hapo unapotafutia unafikiri ni mahali sahihi?
wapo wengi tu tena wengi kuliko walio na malengoNdugu dinia hii sidhani Kama mtu Hana malengo, tatzo ni mambo hayaendi
bidii ni muhim lakn kutumia akili ni muhim zaid u have to be very smart usiogope kutake risk na pia usikate tamaa asume upo vitani unapambana ndo ilivyo unavyotafuta utajiriHahahaha Yani Kuna vitu serious navipitia kwenye familia halafu mm ndo mkubwa nashindwa kuvisolve
Nimepoteza ndgu na jamaa wa familia sababu tu ya umaskini ya kukosa pesa ya kugharamia matibabu...nauchukia umaskini natafuta usiku na mchana lakini mambo ni magumu
Hawa matajiri wamefanyaje?
Haya ni maneno ndgu ukiapply haya kwenye field hutoboi, nataka kuijua Siri ya matajiri nshafight Sana vya kutosha naamanisha Kama ni kutafta nimetafta kila kona ya nchi hiibidii ni muhim lakn kutumia akili ni muhim zaid u have to be very smart usiogope kutake risk na pia usikate tamaa asume upo vitani unapambana ndo ilivyo unavyotafuta utajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni maneno ndgu ukiapply haya kwenye field hutoboi, nataka kuijua Siri ya matajiri nshafight Sana vya kutosha naamanisha Kama ni kutafta nimetafta kila kona ya nchi hii
Now nataka kujua walio na pesa Africa wanafanyaje
kumbe kuna watu mshauonja huo moto??athari za umaskini ( dhiki) ni chungu mithiri ya Moto wa jehenamu.
To you maybe.Hayo ni maneno tu ndugu,... hayabadilishi Wala kuongeza chochote kwenye uhalisia
Hahahaha!!Umaskin mbaya sana yani hata kuku wanadharau hadi kufikia kufanya mapenz mbele yako
Bahati ipo. But it comes with more sacrifices and struggling.
Suala la umri lina usiana nini mkuu..?Una umri gani mkuu