Hakuna kitu kibaya Kama umaskini

Hahahaha Yani Kuna vitu serious navipitia kwenye familia halafu mm ndo mkubwa nashindwa kuvisolve

Nimepoteza ndgu na jamaa wa familia sababu tu ya umaskini ya kukosa pesa ya kugharamia matibabu...nauchukia umaskini natafuta usiku na mchana lakini mambo ni magumu

Hawa matajiri wamefanyaje?
pole cute je umeweka malengo na je hapounapotafutia unafikiri ni mahali sahihi ~Michael The Great
 
Hahahaha Yani Kuna vitu serious navipitia kwenye familia halafu mm ndo mkubwa nashindwa kuvisolve

Nimepoteza ndgu na jamaa wa familia sababu tu ya umaskini ya kukosa pesa ya kugharamia matibabu...nauchukia umaskini natafuta usiku na mchana lakini mambo ni magumu

Hawa matajiri wamefanyaje?
bidii ni muhim lakn kutumia akili ni muhim zaid u have to be very smart usiogope kutake risk na pia usikate tamaa asume upo vitani unapambana ndo ilivyo unavyotafuta utajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bidii ni muhim lakn kutumia akili ni muhim zaid u have to be very smart usiogope kutake risk na pia usikate tamaa asume upo vitani unapambana ndo ilivyo unavyotafuta utajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni maneno ndgu ukiapply haya kwenye field hutoboi, nataka kuijua Siri ya matajiri nshafight Sana vya kutosha naamanisha Kama ni kutafta nimetafta kila kona ya nchi hii

Now nataka kujua walio na pesa Africa wanafanyaje
 
formula ni hiyo hiyo wew hufanikiwi na utachelewa kufanikiwa coz unatafuta kitu ambacho hakipo siri nyingi ni kumtanguliza Mungu na kusali sana pia kufanya kila kitu kwa kujiamini kwamba kitafanikiwa bila doubt utatoboa soon
Haya ni maneno ndgu ukiapply haya kwenye field hutoboi, nataka kuijua Siri ya matajiri nshafight Sana vya kutosha naamanisha Kama ni kutafta nimetafta kila kona ya nchi hii

Now nataka kujua walio na pesa Africa wanafanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maisha basi tu ,kuna wakati unakuwa vzur nawakati mwingine unayumba hadi unahisi umelogwa ,unauza vitu na familia inayumba,unabaki na boxer tu.kikubwa ni kujipa moyo .ila maisha yana changamoto sana .unaweza ukajikuta umekuwa mlevi wa kupindukia usipokuwa makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
athari za umaskini ( dhiki) ni chungu mithiri ya Moto wa jehenamu.
kumbe kuna watu mshauonja huo moto??
hongereni sanaa.


na kama unahisi hakuna kitu kibaya kama umasikini...jaribu ujinga!
 
Back
Top Bottom