Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Yani Kuna vitu serious navipitia kwenye familia halafu mm ndo mkubwa nashindwa kuvisolveUmaskin mbaya sana yani hata kuku wanadharau hadi kufikia kufanya mapenz mbele yako
Hawa matajiri wamefanyaje?
ha ha ha ha haUmaskin mbaya sana yani hata kuku wanadharau hadi kufikia kufanya mapenz mbele yako
They never give up.Hahahaha Yani Kuna vitu serious navipitia kwenye familia halafu mm ndo mkubwa nashindwa kuvisolve
Nimepoteza ndgu na jamaa wa familia sababu tu ya umaskini ya kukosa pesa ya kugharamia matibabu...nauchukia umaskini natafuta usiku na mchana lakini mambo ni magumu
Hawa matajiri wamefanyaje?
That is true takin risks is inexcapable if someone wants to win big dough.They never give up.
They learn from their mistakes, change strategies and take more risks.
akili zingine sijui sinafikiliaga nn tuUmaskin mbaya sana yani hata kuku wanadharau hadi kufikia kufanya mapenz mbele yako
Kaka hii Ni kweli kabisaNiliwahi kumsikiliza Mfuruki kwenye mahojiano CLouds TV..alisema hata ukiwa na sifa zote bahati inahitajika pia...mpaka Leo natafakari....
Wamejivika roho ngumu.
Hayo ni maneno tu ndugu,... hayabadilishi Wala kuongeza chochote kwenye uhalisiaThey never give up.
They learn from their mistakes, change strategies and take more risks.
Bahati ni efforts zako tu.Niliwahi kumsikiliza Mfuruki kwenye mahojiano CLouds TV..alisema hata ukiwa na sifa zote bahati inahitajika pia...mpaka Leo natafakari....
Ndgu unadhani watu hawana hizo effort
Inategemeana umelenga nini..Ndgu unadhani watu hawana hizo effort