Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani iwe juu yenu wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ee bhana usije kabisa ukashitakiana na masikini yaan mtu mwenye kipato kidogo afu wewe kidogo kipato chako ni kikubwa
Watu watakuona kuwa wewe ni mbaya tu hata kama huna kosa
Kwanza mwenziyo ataanza kwa maneno haya
Sawa tu si kwa sababu wewe mwenzetu una magari
Sawa tu si kwa sababu wewe una maisha mazur
Unanifanyia hivyo kwa sababu mimi ni masikin sawa tu lakini yote ni mipango ya Mungu
Yote maisha leo kwangu kesho kwako
Nimeleta huu uzi leo nimetokewa na kash kash yaan jamii haijaniamin kabisa imeniona tu mimi ndo makosa baada ya yule jamaa niliyezinguana naye kuanza kumwaga machozi na kudai sawa tu wewe si tajil mwenzetu si una magari ila ipo siku tu
Dah yaan mpaka nimechoka aisee
LONDON BOY
BOY FROM ENGLAND
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ee bhana usije kabisa ukashitakiana na masikini yaan mtu mwenye kipato kidogo afu wewe kidogo kipato chako ni kikubwa
Watu watakuona kuwa wewe ni mbaya tu hata kama huna kosa
Kwanza mwenziyo ataanza kwa maneno haya
Sawa tu si kwa sababu wewe mwenzetu una magari
Sawa tu si kwa sababu wewe una maisha mazur
Unanifanyia hivyo kwa sababu mimi ni masikin sawa tu lakini yote ni mipango ya Mungu
Yote maisha leo kwangu kesho kwako
Nimeleta huu uzi leo nimetokewa na kash kash yaan jamii haijaniamin kabisa imeniona tu mimi ndo makosa baada ya yule jamaa niliyezinguana naye kuanza kumwaga machozi na kudai sawa tu wewe si tajil mwenzetu si una magari ila ipo siku tu
Dah yaan mpaka nimechoka aisee
LONDON BOY
BOY FROM ENGLAND