GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Amefanya Mambo mengi mazuri hasa katika kuleta Mandeleo ya Soka Tanzania
Katika Wagombea wote waliochukua Fomu Karia ni bora na anafaa kuliko wengine.
Tena ikiwezekana na Katiba ikiruhusu Wallace Karia aongoze Milele tu TFF kwani kafanya makubwa.
Ukiona Mtu anakubaliwa na GENTAMYCINE jua ni sahihi, mweledi na anafaa Kiutawala.
Ukiona Mtu yoyote au Timu fulani inamchukia Wallace Karia jua ni Wendawazimu watupu tu.
Rais Wallace Karia anakubalika na Wasomi wengi na Kutotakiwa na Wajinga wachache.
Namtakia kila Ia kheri Wallace Karia na asiwe na wasiwasi tunapoenda na ameshapita.
TFF si kwa kwenda kutafuta Followers Instagram au kutaka Kuuza tu Dawa za Kulevya.
Najitangaza rasmi JF kuwa Team Karia.
Katika Wagombea wote waliochukua Fomu Karia ni bora na anafaa kuliko wengine.
Tena ikiwezekana na Katiba ikiruhusu Wallace Karia aongoze Milele tu TFF kwani kafanya makubwa.
Ukiona Mtu anakubaliwa na GENTAMYCINE jua ni sahihi, mweledi na anafaa Kiutawala.
Ukiona Mtu yoyote au Timu fulani inamchukia Wallace Karia jua ni Wendawazimu watupu tu.
Rais Wallace Karia anakubalika na Wasomi wengi na Kutotakiwa na Wajinga wachache.
Namtakia kila Ia kheri Wallace Karia na asiwe na wasiwasi tunapoenda na ameshapita.
TFF si kwa kwenda kutafuta Followers Instagram au kutaka Kuuza tu Dawa za Kulevya.
Najitangaza rasmi JF kuwa Team Karia.