Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Tumbo tumbo ni mpigaji tu aende akajiunge na alshababu
Katika kipindi chake Timu ya Taifa imefuzu na kushiriki katika michuano mikubwa ya Afrika,Kwa kipi alivholifanyia taifa kisoka?
Walifuzu baada ya kuwahonga waganda kwani wewe hilo hulijui..!!Katika kipindi chake Timu ya Taifa imefuzu na kushiriki katika michuano mikubwa ya Afrika,