Hakuna kiongozi au binadamu aliyekamilika, leo imedhihirika JPM alikuwa anakubalika kwa wanyonge na sio kwa mafisadi na matapeli ya kisiasa

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko Twita, wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.

Lakini leo hii tumepata picha kamili, wazalendo, wamachinga, wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.

Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
 
Nyerere aliacha Wosia, Mkapa aliacha kitabu na Magufuli ameacha makaburi.

Kaka yangu aliuawa kikatili kwa Mapanga, Ubongo ukachuruzika mithili ya supu nzito ya nguruwe, Polisi bila hata uchunguzi wakatoa statement kwamba kauawa kwa ugomvi wa mapenzi pamoja na kuwaonesha meseji nyingi za vitisho kutoka kwa CCM na ambazo kabla marehemu aliripoti mwenyewe polisi hakuna hata mmoja aliyekamatwa.

Kisa ni kaka kuwa Diwani kupitia chadema, wakaamua kumuua kikatili kwa mapanga. RIP bro, RIP Azory Gwanda, RIP Ben Saanane
😢
😢
😢

Lala milele Dikteta Jiwe, Usiamke tena na uwe kuni huko uendako
 
Kama mna mpenda kweli si mngemuunga mkono kwenye hiyo safari yake kwa kuchukua maamuzi magumu? Mnaumia siyo kwa sababu mlimpenda sana!

Ni kwa sababu mlinufaika na utawala wake. Vipi kuhusu watumishi wa umma? Watamkumbuka kwa lipi hasa ndani ya miaka yake hii mitano na miezi kadhaa?
 
Pole sana mleta mada, kuna wakati mlikuja hapa na kusema JPM ni zaidi ya Nyerere, nyie watu nyie, ona leo munalazimisha kwamba watu wanagaragara huko barabarani, sio kweli kwani katika pitapita zangu mpaka nafika hapa uwanja wa UHURU, wengine walienda barabarani kuona msafara kama ilivyokawaida yetu wabongo, mfano mzuri ni mimi ambaye nimejisikia tu kuja kuona yanayoendelea.

Tukirudi kwenye msiba wa Nyerere, sijui ulikuwa na umri gani lakini kwa macho yangu nilishuhudia pale Airport wanajeshi na askari polisi wakitokwa machozi kama watoto wadogo.

JPM apumzikie anapostahili, kaumaliza mwendo wake, ana mazuri yake japo naona mabaya yake hasa kutoka kwa nyie wapambe ndio mumemharibia zaidi.
 
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko twita,wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.

Lakini leo hii tumepata picha kamili,wazalendo,wamachinga,wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.

Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
Waliogaagaa ni pasenti ngapi ya wasiogaagaa?
 
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko twita,wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.

Lakini leo hii tumepata picha kamili,wazalendo,wamachinga,wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.

Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
Nakubaliana na wewe Magufuli kama binadamu hakuwa mkamilifu. Kosa la Magufuli ni kuwa alipewa mamlaka asimamie haki sawa kwa raia wote. Yeye akatumia nafasi hiyo kuacha wengine waonewe, wengine wauliwe bila kuchukua hatua na kudhani yeye peke yake ndiye pekee mwenye kuweza kuiongoza nchi. (Na amewahi kuuliza kama yupo atakayeweza kufanya yale anayofanya)

Sasa Mungu kamchukua ili aone kuwa wapo wengine watafanya kama yeye na zaidi bila hata kuonea na kusababisha maumivu kwa wengine.

Shida nyingine Magufuli kila alipofungua mdomo wake hakuwa mtu wa kuongea maneno ya faraja wala kuleta tumaini. Mara nyingi ametumia mdomo wake kukwaza watu na kutoa maneno ya kejeli na kuudhi. Cha kusikitisha zaidi hotuba yake ya mwisho mtaani alimwambia yule bwana anayejiita "Trump" aliyehoji kuhusu malipo ya choo maneno ambayo hayapaswi kutamkwa na kiongozi wa nchi hadharani.

Mimi kama binadamu mwenzake namwombea tu awe alitafuta amani na Mungu wake katika siku zake za mwisho. Na Mungu amsamehe na kumpa pumziko la milele.
 
Pole sana mleta mada, kuna wakati mlikuja hapa na kusema JPM ni zaidi ya Nyerere, nyie watu nyie, ona leo munalazimisha kwamba watu wanagaragara huko barabarani, sio kweli kwani katika pitapita zangu mpaka nafika hapa uwanja wa UHURU, wengine walienda barabarani kuona msafara kama ilivyokawaida yetu wabongo, mfano mzuri ni mimi ambaye nimejisikia tu kuja kuona yanayoendelea.
Tukirudi kwenye msiba wa Nyerere, sijui ulikuwa na umri gani lakini kwa macho yangu nilishuhudia pale Airport wanajeshi na askari polisi wakitokwa machozi kama watoto wadogo.
JPM apumzikie anapostahili, kaumaliza mwendo wake, ana mazuri yake japo naona mabaya yake hasa kutoka kwa nyie wapambe ndio mumemharibia zaidi.
Unapoteza mb na muda wako kupost ujinga. Kila mtu anahoji itakuwaje maana JPM ameondoka. Tumia akili hatanya kuazima
 
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko twita,wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.

Lakini leo hii tumepata picha kamili,wazalendo,wamachinga,wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.

Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.

Magufuli hakuwa Tanzania, na watu kujaa haimaanishi kuwa alikuwa mtu mwema. Unaweza kuwa maarufu na usiwe mtu mwema.
 
Nakubaliana na wewe Magufuli kama binadamu hakuwa mkamilifu. Kosa la Magufuli ni kuwa alipewa mamlaka asimamie haki sawa kwa raia wote. Yeye akatumia nafasi hiyo kuacha wengine waonewe, wengine wauliwe bila kuchukua hatua na kudhani yeye peke yake ndiye pekee mwenye kuweza kuiongoza nchi. (Na amewahi kuuliza kama yupo atakayeweza kufanya yale anayofanya)

Sasa Mungu kamchukua ili aone kuwa wapo wengine watafanya kama yeye na zaidi bila hata kuonea na kusababisha maumivu kwa wengine.

Shida nyingine Magufuli kila alipofungua mdomo wake hakuwa mtu wa kuongea maneno ya faraja wala kuleta tumaini. Mara nyingi ametumia mdomo wake kukwaza watu na kutoa maneno ya kejeli na kuudhi. Cha kusikitisha zaidi hotuba yake ya mwisho mtaani akimwambia yule Trump wa aliyehoji kuhusu malipo ya choo maneni ambayo hayapaswi kutamkwa na kiongozi wa nchi hadharani
After two weeks utamkumbuka.
 
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko twita,wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.

Lakini leo hii tumepata picha kamili,wazalendo,wamachtinga,wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.

Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko twita,wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.

Lakini leo hii tumepata picha kamili,wazalendo,wamachinga,wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.

Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
Ujumbe wako hapa hasa ni upi,kumbuka ni muda wa maombolezo na sii muda wa siasa za migawanyiko.
 
Nafikiri ufike muda watanzania walio wengi wajitambue na wafate sheria za nchi kama ilivyo, kisa wewe ni machinga umeruhusiwa kuziba njia kwa bidhaa zako isiwe sababu ya kuwaita watanzania wenzako fedhuli..mnakosea kwa sababu nyie hamfuati kanuni za miji mnafuata maagizo ya mtu binafsi balaa lake ndio hili mnaanza kulia lia kwa vile mwajua hakuna kiongozi mwenye weledi na uongozi atakaeruhusu machinga kupanga bidhaa barabarani.
 
Kwahiyo matusi haya ww ndo umeona yanafaa msibani!??
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko twita,wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.

Lakini leo hii tumepata picha kamili,wazalendo,wamachinga,wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.

Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
 
Back
Top Bottom