Ukawa wapuuzi kweli
Sasa unalinda kura ukiwa nje wakati kura zinahesabiwa ndani
Upuuzi mtupu
Na uharo
Huu
Kwan hamna mawakala?
".......mtu akikuambia upige kura na ulinde kura ..mwambie mzee njoo tulinde wrote..."
Kanali kinana
MAZOEA YA KUWEPO UMBALI WA MITA 200 AU 300 KUTOKAKITUO CHA KUPIGIA KURA
Kumekuwepo na mazoea kwamba, baada ya kupiga kura wafuasiwa vyama hubakia na kukaa kwenye maeneo ya kupigia kuraumbali wa mita 100 au 200 au 300.Jambo hili ni kinyume na Sheria za Uchaguzi. Kwani, katikakifungu cha 104 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura Na. 343kinasema nanukuu
Hakuna mtu atakayefanya Mkutano siku ya kupiga kura au;ndani ya jengo lolote ambamo upigaji kura katika uchaguziunaendelea, au mahali popote ndani ya eneo la mita miambili yajingo hilo, kuvaa au kuonyesha kadi ya picha yoyote, upendeleoau nembo nyingine inayoonesha kuunga mkono mgombea Fulanikatika uchaguzi
Mwisho wa kunukuu.
Aidha, kifungu cha 103 (1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali zaMitaa, Sura ya 292 kinasema, Nanukuu:
hakuna mtu atakayeruhusiwa, katika jengo lolote ambalo upigajikura katika uchaguzi unaendelea, au njia yoyote inayotumiwa naumma ndani ya umbali wa mita mia tatu ya mlango wowote wakuingilia katika jengo, atavaa au kuonyesha kadi, upendeleo au 4nembo yoyote inayoashiria kumuunga mkono mgombea Fulanikatika uchaguziMwisho wa kunukuu.
Kifungu cha 5 cha Sheria ya Adhabu, Sura Na. 16 kinaelezamaana ya njia ya Umma.
Nanukuu:
Public way includes any highway, market place, square, street,bridge or other way which is lawfully used by the public
Mwisho wa kunukuu.
Vifungu vya Sheria zote kwa pamoja havisemi wala kutoa fursa aunafasi kwa wananchi kukusanyika bali zinapiga marufuku nakukataza uvaaji wa sare, au nembo au alama za Vyama vya Siasasiku ya kupiga kura kwa umbali kati ya mita 200 na 300.
Hivyo basi ieleweke kwamba umbali huo wa mita 200 mpaka 300sio umbali unaowaruhusu watu kukusanyika kwa kisingizio chakulinda kura.
Aidha, uzoefu unaonesha kwamba, katika kampenizinazoendelea, pale ambapo wafuasi wa vyama tofautiwanapokutana uwezekano wa kutokea vurugu ni mkubwa nasehemu nyingine vurugu zimetokea na kusababisha maafamajeruhi na uharibifu mali.
Source: http://www.nec.go.tz/uploads/documents/en/1444402411-MAELEKEZO YA TUME SIKU YA UCHAGUZI.pdf
Are you serious? Hivi hii mitaa ya Kariakoo especially Congo ina mikusanyiko yenye kibali toka Police?Mkusanyiko wowote unahitaji kibali toka polisi
Au kwamba tume imefunga radio majimbo yote kwamba kila yakitoka yatawatangazia wapiga kura wa jimbo ilo matokeo. na nini umuhimu wa kutangaza matokeo kama wahusika mmewafukuza wakae majumbani mwao? Hiyo waliona wapi duniani wapiga kura wanamaliza kuiga kura wanatimliwa kwenda kulala majumbani mwao? Kwani wakikusanyika na kupiga story sheria ipi inakataza? Maana Katiba inaruhusu watu kwenda mahali popote wanakotaka mradi hawavunji sheria ya nchi.
Ukifanya fujo utakua umevunja sheria za nchi ambazo Polisi ambao ndio wanao hakikisha na au enforce USALAMA WA RAIA watakushughulikia na kukuweka mahali pema Keko. Don't worry, wewe anzisha fujo tu na subiri uone mkono wa Serikali utakavyo kufunza adabu huku Lowassa akiwa amejituliza nyumbani kwake.
Hebu angalia hao Ukawa waliotakiwa kuwa watetezi wa katiba ya wananchi wanavyofanya sasa hivi. Unawaamini kweli hawa jamaa, wakati wao wenyewe ndio vinara wa kuvunja katiba zao?
Nani kasema ukawa ndo wanaweza ibiwa kura tu? Hata ccm wanaweza ibiwa vilevile, ukawa ccm act wote tulinde kura zetu,
Wasomi Wetu Wananishangaza Sana, Unakutwa Mtu Anajiita Mwanasheria Wakati Hata Baadh Ya Sheria Hazijui, Nina Mashaka Sana Kama Waafrika Tutaacha Uzembe Wa Kujisomea Maandiko Mbalimbali,
Sheria INARUHUSU MTU KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KAWAIDA KWA UMBALI WA MITA 200 KUTOKEA KITUO CHA KUPGA KURA ,NA SI KUKUSANYIKA PALE KULINDA KURA, ANAYERUHUSIWA KUKAA PALE KITUON KULINDA NA KUHAKIKI KURA NI WAKALA WA CHAMA HUSIKA,;
MAON; natoa wito TAKUKURU wasambaze maafisa wao kila kituo cha kupgia kura na wakae ndani, maana hata mkikaa kundi nje eti mnalinda kura haisaidii kama wakala wenu ana matatizo chungu nzima, ada ya watoto ,kodi, madeni, alafu apatiwe milion 10, kubadili matokeo, tena anahamishiwa kwa mpesa hapo chumbani sijui kama anaweza kukataa, na mtakaokuwa mita 200 ndo nashangaa mtajuaje hyo, nakushauri mbowe tumia akili hyo,