Requal
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 1,025
- 1,905
Aisee vijana wenzangu
Unajua watu tunashindwa kuelewa uvivu ni nini in such au tunajitia kutokuelewa?
Kuna uvivu wa kutenda (kufanya kazi kwa vitendo na ule uvivu wa kufikiri sasa ndugu yangu wewe endelea kusema mwenzio mvivu kutwa kushinda hapa JamiiForums, wakati yawezekana mwenzio ni mvivu wa kutenda haonyeshi kujishughulisha tu
Lakini kumbe mwenzio genius wa kufikiria na kupanga karata zake kichwani anashinda analala ,yuko mtandaoni 24/7hrs, anakula bata na ana mingle kila kijiwe na life linatembea kwa reli kama mtoto wa chifu huwezi jua hatufanani.
Ukiwa nyuma ya keyboard epuka kuona wenzako maskini, kisa unawaona hapa kwa kila comment..ohoooo
Narudia,usiige mtu hatufanani fuata njia yako. Utakufa unalaumu kama mfuasi wa kibwetele
Shauri yako.
Unajua watu tunashindwa kuelewa uvivu ni nini in such au tunajitia kutokuelewa?
Kuna uvivu wa kutenda (kufanya kazi kwa vitendo na ule uvivu wa kufikiri sasa ndugu yangu wewe endelea kusema mwenzio mvivu kutwa kushinda hapa JamiiForums, wakati yawezekana mwenzio ni mvivu wa kutenda haonyeshi kujishughulisha tu
Lakini kumbe mwenzio genius wa kufikiria na kupanga karata zake kichwani anashinda analala ,yuko mtandaoni 24/7hrs, anakula bata na ana mingle kila kijiwe na life linatembea kwa reli kama mtoto wa chifu huwezi jua hatufanani.
Ukiwa nyuma ya keyboard epuka kuona wenzako maskini, kisa unawaona hapa kwa kila comment..ohoooo
Narudia,usiige mtu hatufanani fuata njia yako. Utakufa unalaumu kama mfuasi wa kibwetele
Shauri yako.