pcman
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 742
- 186
Ni raisi pekee:
1.Aliye mpole na asiye na papara katika mambo yake
2.mwenye huruma na utu, hakusi kuhudhuria misiba muhimu, kutuma salamu za rambirambi, kutembelea wagonjwa, n.k
3.Anayeweza kukuita ikulu na ukaenda bila woga
4.Anayependwa na wana CCM hatakushinda tena nafasi ya uenyekiti
5.Asiye mchoyo, na ndio maana katika safari zake nyingi za kututafutia maendeleo huwa anaambata na watu wengi.
6.Anayependa kupata hekima kutoka kwa wazee wa dar na hivyo kuiendesha nchi ipasavyo, kama wazee wanavyo mshauri
7............
8................
1.Aliye mpole na asiye na papara katika mambo yake
2.mwenye huruma na utu, hakusi kuhudhuria misiba muhimu, kutuma salamu za rambirambi, kutembelea wagonjwa, n.k
3.Anayeweza kukuita ikulu na ukaenda bila woga
4.Anayependwa na wana CCM hatakushinda tena nafasi ya uenyekiti
5.Asiye mchoyo, na ndio maana katika safari zake nyingi za kututafutia maendeleo huwa anaambata na watu wengi.
6.Anayependa kupata hekima kutoka kwa wazee wa dar na hivyo kuiendesha nchi ipasavyo, kama wazee wanavyo mshauri
7............
8................