Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,264
Saalam wakuu .
Nimefuatilia ITV habari mida hii kuna taarifa zimenipa faraja sana.
wameoesha ni jinsi gani serekali ilivyojitahidi tutekeleza miradi mikubwa na muhimu,ule wa DART na daraja la kigamboni,na hata kwenye mikoa mbali mbali kuna miradi mizuri tu inaendelea kwenye barabara na hata reli na viwanja vya ndege.
Ogomvi wangu na CCM ni kulea mafisadi tu!leo bungeni kuna kamati wamesema TAMISEMI iliyo chini ya waziri mkuu wanaongoza kutafuna hela za halmashauri,ukigeukia uswiss hao hao CCM wameficha pesa kibao huko.
Deni la Taifa limefikia trillion 25.CCM wanafagia sebuleni ila huko vyumbani kuchafu na kunanuka,kwanini wasiwachukulie hatua hao wezi ili tuipende CCM?
Nimefuatilia ITV habari mida hii kuna taarifa zimenipa faraja sana.
wameoesha ni jinsi gani serekali ilivyojitahidi tutekeleza miradi mikubwa na muhimu,ule wa DART na daraja la kigamboni,na hata kwenye mikoa mbali mbali kuna miradi mizuri tu inaendelea kwenye barabara na hata reli na viwanja vya ndege.
Ogomvi wangu na CCM ni kulea mafisadi tu!leo bungeni kuna kamati wamesema TAMISEMI iliyo chini ya waziri mkuu wanaongoza kutafuna hela za halmashauri,ukigeukia uswiss hao hao CCM wameficha pesa kibao huko.
Deni la Taifa limefikia trillion 25.CCM wanafagia sebuleni ila huko vyumbani kuchafu na kunanuka,kwanini wasiwachukulie hatua hao wezi ili tuipende CCM?