matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,544
- 15,216
Kwa mujibu wa Vitabu vya imani dhambi iliingia duniani siku ambapo Mwanamke alimletea Chakula mwanaume. (Tunda).
Kunauhusiano Mkubwa kati ya pesa na kutawala. Ndio maana hata kwenye ukoo mwenye pesa hutawala. Duniani nchi tajiri US hutawala. Shule ya mwingi mtoto mwenye pesa nyingi ndiye unakuta wengi wanamfuata (Shule zetu za uswazi).
Mwanaume usilazimishe utaaribu. Hii ni formula wewe ulipaswa ujue hii formula. Tafuta pesa kimya kimya au kubali kutawaliwa. Na ukisemwa unatawaliwa na mkeo usianze ugomvi, ni formula mwenye pesa kutawala asiyenazo.
Mwanamke mwenye Busara katika hali hii hukabidhi Fedha zote kwa mumewe ili atawaliwe kama ilivyompango. Ila atafanya hivyo kama Mume anajitambua.
Yote kwa Yote, usiulize kwa nini wanawake kwenye pesa wanalaumiwa kutawala waume zao. Ni formula hiyo hakuna Namna. Mwanaume tafuta pesa au mshawishi zake ziwe zako na azipate kutokea kwako ili maisha uaende kwa mtelemko.
Naomba kuasilisha
Kunauhusiano Mkubwa kati ya pesa na kutawala. Ndio maana hata kwenye ukoo mwenye pesa hutawala. Duniani nchi tajiri US hutawala. Shule ya mwingi mtoto mwenye pesa nyingi ndiye unakuta wengi wanamfuata (Shule zetu za uswazi).
Mwanaume usilazimishe utaaribu. Hii ni formula wewe ulipaswa ujue hii formula. Tafuta pesa kimya kimya au kubali kutawaliwa. Na ukisemwa unatawaliwa na mkeo usianze ugomvi, ni formula mwenye pesa kutawala asiyenazo.
Mwanamke mwenye Busara katika hali hii hukabidhi Fedha zote kwa mumewe ili atawaliwe kama ilivyompango. Ila atafanya hivyo kama Mume anajitambua.
Yote kwa Yote, usiulize kwa nini wanawake kwenye pesa wanalaumiwa kutawala waume zao. Ni formula hiyo hakuna Namna. Mwanaume tafuta pesa au mshawishi zake ziwe zako na azipate kutokea kwako ili maisha uaende kwa mtelemko.
Naomba kuasilisha