Abuu hanifa
JF-Expert Member
- Aug 17, 2021
- 256
- 274
Tokea Uhuru hakuma mradi wowote wa maendeleo ulioanzia mikoa ya kusini mwa tz . Kusini imekuwa nyuma na ya mwisho kufikirika ktk kila mradi. Miaka 25 - 30 iliyopita serikali ilijinadi kuwa hauna uwezo was kupoleka maendeleo kwa kila mkoa kwa wakati Mmoja.
Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea Uhuru wananchi was kusini walikuwa na matumaini kuwa Siku zao ya kupelekewa maendeleo. Hata hivyo walikaa tens miaka 20 zaidi ndipo wakaambulia kupata barabara ya lami inayounganishana jiji la dar.
Ule usemi kuwa serikali haihangaiki na jamii zilizo lala nakubaliana nao kwa asilimia zote.
Miradi yote mikubwa ikiwemo hospitali ya rufaa kusini hakuna tokea Uhuru
Chuo kikuu au tawi lake hakuna tokea Uhuru
Kuna mradi huu wa reli SGR kusini hawafikiriwi kabisa wakati kanda nyingine hii wakipelekewa awamu ya pili ya reli. kusini sio tu hawajafikiriwa lkn wenyewe pia hawajitambu, wamelala fofofo.
Ukweli ni kuwa jamii yangu ya watu was kusini wanafurahisha na wanasikitisha na wanahitaji maombi ya haraka kutoka kwa watz.
Wanafurahisha na kusikitisha kwasababu; kusini ndio jamii pekee ambayo ccm inavuma kura nyingi wakati wa uchaguzi na huwa ni watu was mwisho kupelekwa maendeleo na serikali hii ya ccm.
Unaweza kuuliza kuna faida itapatikana ikijengwa reli kusini.
kuna rasilimali na bidhaa muhimu ambayo kama ingesafirisha kwa reli bidhaa hizo zingenuaisha watz walio wengi. Bidhaa hizo no pamoja na cement ambapo kwasasa kina zaidi ya maloli 1000 na hivyo kupelekea barabala ya lami kushindwa kuhimili uwingi na ujazo was maloli endapo kiwanda kingezalisha ktk uwezo wake halisi, kuna makaa ya mawe kuna uranium ambazo michakato ya uzalishaji bado inasuasua. Bila shaka uwepo was reli umgesisimua miradi hii mikubwa.
Jana Mh SSH ameshuhudia utiwaji saini mkopo was pesa kwa ajili ya wa ujenzi wa SGR kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Kimarekani 1.908 Bilioni sawa na Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.
Mkopo huu ambao kwa ujumla wake no zaidi tri 14 watu wa kusini watakuwa in wasindikizaji na walipaji wakuu wa deni hili lisilo na faida yyt kwao.
Sijaja hapa kulia lia kama watz wengine bali huu in Uamsho kwa kwa waliolala fofofo. AMKENI
Hata hivyo nilitaka kusikia kutoka kwa wadau wenyewe kabla sijaleta mwelekeo wa njia mpya ya kutembea nayo.
Hadi sasa sijapata wazo mbadala zaidi ya kauli zinazoonyesha unyonge kutoka kwa wadau.
Mwelekeo sahihi.
Chanzo cha tatizo nini:-
Kuelekea kupata suluhisho lazima tujue chanzo kikuu cha tatizo mini, lazima tujue tulipojikwaa na sio tulipoangukia.
Kikwazo kikubwa kimojawapo cha kanda ya kusini kusahaulika ktk masuala maxima ya maendeleo ni kuwa Tanzania ni kubwa na mfuno was serikali kuu hauna na wala hautapata uwezo was kupeleka maendeleo Tanzania yote. Mfumi huu unalazimisha kuwepo ubaguzi kwa baadhi ya kanda.
Kuendelea kukumbatia mfumo huu wa utawala was Serikali kuu kwa jamii ya watu wa kusini, Mfumo ambao ushakuwa mkongwe wa miaka zaidi 60 ya Uhuru. Kuuendelea kuuegemea ni sawa kuupa sapoti mgomba dhaifu ukizaa mkungu mkubwa wa ndizi ili usinguke unazuia na nguzo. Lkn ndizi hizo zikishakomaa hupati manufaa yake. Serikali kwasasa ccm imeelemewa na maitaji ya wa tz. Lkn kubwa zaidi imeelemewa na madeni kiasi kwambainaelekea kuvuka mstari wa kukopesheka.
Mwelekeo
Ni lazima jamii iamke usingizini wa fofofo na ifanye Maamuzi magumu, maamuzi mapya, lkn lazima yafanyike maamuzi magumu. Kwa kuukataa mfumo huu ulioelemewa.
Vyama vyote vinavyoamini mfumo was serikali kuu vikataliwe. Vyama vinavyoamini mfumo wa serikali tatu pia hauna faida kwa wana kusini. Tunahitaji mfumo ule wa kikoloni na baada ya Uhuru. Mfumo wa seriKali za Majimbo ambapo kusini lilijulikana kama Southern Province. Kwa lugha nyepesi lazima wanakusini waunganishe nguvu na kusimama au kuanzisha chama kitakachi amini na kusimamia mfumo wa serikali za majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.
Jambo hili so geni na wala halitakuwa geni. Kwasasa serikali ya ccm imelipatia nguvu na Uhuru zaidi jimbo moja tu la znz. Tunahitaji chama ambacho kitazipa nguvu Majimbo na uhuru was kujiamulia uchumi wao, utamaduni wao, elimu yao, mambo yao ya kijamii nk
kila jimbo lihodhi 75% ya rasilimali zake. 25% ziende serikali kuu kwa ajili ya kujiendesha na kwa ajili ya kusaidoa majimbo yasiyo na rasilimali yajitengenezee artificial rasilimali. Eg elimu maalum kama ya engineering au IT.
Hakuna haja kukumbatia chama Kama bendera kufata upepo. Kipindi Fulani nilikwenda kufanya kijiutatfiti kwa kuwauliza kwann mmetoka CUF na kwenda ACT wengi walijibu tumemfata Maalim . nikawauliza maalim akishinda urais znz jamii ya watu wa kanda ya kusini mtafaidika vp urais wa Maalim Seif (Mungu Amrehemu) hawakuwa na jibu. Hawakuwa na jibu kwa kuwa Maalim seif alijipambanua kuwa anapigania Uhuru zaidi wa znz kujiamulia mambo yao wenyewe.
Ndugu zangu najua wamenielewa lkn watakuja na swali moja kuuliza. Sasa kama tutaipunguzia nguvu serikali kuu sasa hayo madeni ya tri 71 ya serikali kuu atalipa nani!??
Jibu rahisi ni guys mind ur business. Else majimbo husika yaliyonufaika na madeni hayo ndio watakuwa walipaji wakuu. Nawatalipa kulingana na faida kayozaliswa na miradi hiyo.
Ndugu zangu hili wazo linaingia akilini, je linatekelezeka?
R U ready U my fellow guys kufata njia hii
Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea Uhuru wananchi was kusini walikuwa na matumaini kuwa Siku zao ya kupelekewa maendeleo. Hata hivyo walikaa tens miaka 20 zaidi ndipo wakaambulia kupata barabara ya lami inayounganishana jiji la dar.
Ule usemi kuwa serikali haihangaiki na jamii zilizo lala nakubaliana nao kwa asilimia zote.
Miradi yote mikubwa ikiwemo hospitali ya rufaa kusini hakuna tokea Uhuru
Chuo kikuu au tawi lake hakuna tokea Uhuru
Kuna mradi huu wa reli SGR kusini hawafikiriwi kabisa wakati kanda nyingine hii wakipelekewa awamu ya pili ya reli. kusini sio tu hawajafikiriwa lkn wenyewe pia hawajitambu, wamelala fofofo.
Ukweli ni kuwa jamii yangu ya watu was kusini wanafurahisha na wanasikitisha na wanahitaji maombi ya haraka kutoka kwa watz.
Wanafurahisha na kusikitisha kwasababu; kusini ndio jamii pekee ambayo ccm inavuma kura nyingi wakati wa uchaguzi na huwa ni watu was mwisho kupelekwa maendeleo na serikali hii ya ccm.
Unaweza kuuliza kuna faida itapatikana ikijengwa reli kusini.
kuna rasilimali na bidhaa muhimu ambayo kama ingesafirisha kwa reli bidhaa hizo zingenuaisha watz walio wengi. Bidhaa hizo no pamoja na cement ambapo kwasasa kina zaidi ya maloli 1000 na hivyo kupelekea barabala ya lami kushindwa kuhimili uwingi na ujazo was maloli endapo kiwanda kingezalisha ktk uwezo wake halisi, kuna makaa ya mawe kuna uranium ambazo michakato ya uzalishaji bado inasuasua. Bila shaka uwepo was reli umgesisimua miradi hii mikubwa.
Jana Mh SSH ameshuhudia utiwaji saini mkopo was pesa kwa ajili ya wa ujenzi wa SGR kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Kimarekani 1.908 Bilioni sawa na Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.
Mkopo huu ambao kwa ujumla wake no zaidi tri 14 watu wa kusini watakuwa in wasindikizaji na walipaji wakuu wa deni hili lisilo na faida yyt kwao.
Sijaja hapa kulia lia kama watz wengine bali huu in Uamsho kwa kwa waliolala fofofo. AMKENI
Ukweli nimechokoza mada hii kwa kuwa Nina njia niliyofikiria ni muarubali wa mabadiliko ktk jamii ya wakusini.Huu sio uamsho haya ni malalamiko tu.
Kumuambia mtu kwamba "aisee wewe ni mjinga saaaaana" hapo hujamtoa ujinga bali muambie wewe ni mjinga kwa sababu hii na hii na dawa ya kuondoa fanya kadha wa kadha.
Sasa wewe hujawaamsha lolote bali umewaambia tu kwamba wamelala baaasi.
Weka mikakati namna gani wamelala,weka mikakati wafanyeje ili WATOKE HAPO WALIPOLALA ?
JE waibe ili watoke kwenye huo usingizi fofofo ?
Waingie kwa fujo kwenye siasa ili watoke kwenye usingizi fofofo ?
Wahame wote wahamie Dar ili watoke kwenye usingizi fofofo ?
Wafanyeje mkuu ?
Click to expand...
Hata hivyo nilitaka kusikia kutoka kwa wadau wenyewe kabla sijaleta mwelekeo wa njia mpya ya kutembea nayo.
Hadi sasa sijapata wazo mbadala zaidi ya kauli zinazoonyesha unyonge kutoka kwa wadau.
Mwelekeo sahihi.
Chanzo cha tatizo nini:-
Kuelekea kupata suluhisho lazima tujue chanzo kikuu cha tatizo mini, lazima tujue tulipojikwaa na sio tulipoangukia.
Kikwazo kikubwa kimojawapo cha kanda ya kusini kusahaulika ktk masuala maxima ya maendeleo ni kuwa Tanzania ni kubwa na mfuno was serikali kuu hauna na wala hautapata uwezo was kupeleka maendeleo Tanzania yote. Mfumi huu unalazimisha kuwepo ubaguzi kwa baadhi ya kanda.
Kuendelea kukumbatia mfumo huu wa utawala was Serikali kuu kwa jamii ya watu wa kusini, Mfumo ambao ushakuwa mkongwe wa miaka zaidi 60 ya Uhuru. Kuuendelea kuuegemea ni sawa kuupa sapoti mgomba dhaifu ukizaa mkungu mkubwa wa ndizi ili usinguke unazuia na nguzo. Lkn ndizi hizo zikishakomaa hupati manufaa yake. Serikali kwasasa ccm imeelemewa na maitaji ya wa tz. Lkn kubwa zaidi imeelemewa na madeni kiasi kwambainaelekea kuvuka mstari wa kukopesheka.
Mwelekeo
Ni lazima jamii iamke usingizini wa fofofo na ifanye Maamuzi magumu, maamuzi mapya, lkn lazima yafanyike maamuzi magumu. Kwa kuukataa mfumo huu ulioelemewa.
Vyama vyote vinavyoamini mfumo was serikali kuu vikataliwe. Vyama vinavyoamini mfumo wa serikali tatu pia hauna faida kwa wana kusini. Tunahitaji mfumo ule wa kikoloni na baada ya Uhuru. Mfumo wa seriKali za Majimbo ambapo kusini lilijulikana kama Southern Province. Kwa lugha nyepesi lazima wanakusini waunganishe nguvu na kusimama au kuanzisha chama kitakachi amini na kusimamia mfumo wa serikali za majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.
Jambo hili so geni na wala halitakuwa geni. Kwasasa serikali ya ccm imelipatia nguvu na Uhuru zaidi jimbo moja tu la znz. Tunahitaji chama ambacho kitazipa nguvu Majimbo na uhuru was kujiamulia uchumi wao, utamaduni wao, elimu yao, mambo yao ya kijamii nk
kila jimbo lihodhi 75% ya rasilimali zake. 25% ziende serikali kuu kwa ajili ya kujiendesha na kwa ajili ya kusaidoa majimbo yasiyo na rasilimali yajitengenezee artificial rasilimali. Eg elimu maalum kama ya engineering au IT.
Hakuna haja kukumbatia chama Kama bendera kufata upepo. Kipindi Fulani nilikwenda kufanya kijiutatfiti kwa kuwauliza kwann mmetoka CUF na kwenda ACT wengi walijibu tumemfata Maalim . nikawauliza maalim akishinda urais znz jamii ya watu wa kanda ya kusini mtafaidika vp urais wa Maalim Seif (Mungu Amrehemu) hawakuwa na jibu. Hawakuwa na jibu kwa kuwa Maalim seif alijipambanua kuwa anapigania Uhuru zaidi wa znz kujiamulia mambo yao wenyewe.
Ndugu zangu najua wamenielewa lkn watakuja na swali moja kuuliza. Sasa kama tutaipunguzia nguvu serikali kuu sasa hayo madeni ya tri 71 ya serikali kuu atalipa nani!??
Jibu rahisi ni guys mind ur business. Else majimbo husika yaliyonufaika na madeni hayo ndio watakuwa walipaji wakuu. Nawatalipa kulingana na faida kayozaliswa na miradi hiyo.
Ndugu zangu hili wazo linaingia akilini, je linatekelezeka?
R U ready U my fellow guys kufata njia hii