babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,399
- 3,243
Baada ya Uchaguzi kumalizika na matokeo ya jumla kuonyesha ccm wameshinda kwa asilimia kubwa zaidi kwa kujumlisha na maeneo waliyopita kwa Mapingamizi je ni kweli kuna cha kujivunia?
Wapo wanaccm wasioamini kuwa chama kinaanguka kwa kasi sana tukiangalia Takwimu za hivi karibuni kwa mfano÷
Urais 2005 Ccm ilipata 86%
Miaka mitano tu mbele 61%
Kwa mgombea aliyekuwa na ushawishi zaidi ccm.
Serikali za mitaa 2009 ccm ilivuna 96%
Mwaka 2014 ukiondoa sehemu zenye mapingamizi inaweza kufika 70%.
Sasa ukiangalia hizo takwimu vizuri ni wazi kabisa kuna hatari 2015 kwa ccm kudidimia zaidi kwani wananchi waliowengi wataona kumbe hata bila ccm maisha yapo tu. Ule woga unatoweka kwa kasi zaidi.
Urais 86 - 61 = 24%
Mitaa 96 - 70 = 26%
Mh. Kikwete mwaka 2011 aliita CC ya CCM na kuwataka kutafuta jibu la kwa nn hali imekuwa hivi.
Mpaka leo hakuna majibu.
Kuondoka ccm 2015 si muujiza tena inawezekana hata wao viongozi wanajua hilo.
Ukiiguza tu hiyo 61% - 12% tu inakuwa habari ingine.
Wapo wanaccm wasioamini kuwa chama kinaanguka kwa kasi sana tukiangalia Takwimu za hivi karibuni kwa mfano÷
Urais 2005 Ccm ilipata 86%
Miaka mitano tu mbele 61%
Kwa mgombea aliyekuwa na ushawishi zaidi ccm.
Serikali za mitaa 2009 ccm ilivuna 96%
Mwaka 2014 ukiondoa sehemu zenye mapingamizi inaweza kufika 70%.
Sasa ukiangalia hizo takwimu vizuri ni wazi kabisa kuna hatari 2015 kwa ccm kudidimia zaidi kwani wananchi waliowengi wataona kumbe hata bila ccm maisha yapo tu. Ule woga unatoweka kwa kasi zaidi.
Urais 86 - 61 = 24%
Mitaa 96 - 70 = 26%
Mh. Kikwete mwaka 2011 aliita CC ya CCM na kuwataka kutafuta jibu la kwa nn hali imekuwa hivi.
Mpaka leo hakuna majibu.
Kuondoka ccm 2015 si muujiza tena inawezekana hata wao viongozi wanajua hilo.
Ukiiguza tu hiyo 61% - 12% tu inakuwa habari ingine.