Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 800
- 1,050
Usiombe hii kitu uwe nayo kwenye mawazo yako na sana sana uwe unaingia kwenye platform mbalimbali kusoma dalili za huo ugonjwa (VVU na UKIMWI) au tabia zake baada ya kuambukizwa na ukawa una shaka juu ya hizo dalili.
Binafsi niliwahi kudumbukia kwenye haya mawazo (hata ukipitia thread zangu za kitambo utagundua hiko kitu)
Matokeo yake nilipata vidonda vya tumbo na kukonda sana na niliamini kweli nimeupata.
Lakini nilichogundua ni kwamba yale mawazo yalikuwa ni source ya mimi kupata vidonda vya tumbo na kukonda. Nikaacha hayo mawazo en nowdays nanenepa tu despite sikuenda kupima na niko na msimamo wa kutokwenda kupima.
Ushauri Wangu Kwa Vijana Wenzangu: 1. Tutake Risk huu ugonjwa upo jamani
2. Hakuna kitu kibaya cha kukiogopa kama uoga wenyewe
Am done unaweza kuongezea
Binafsi niliwahi kudumbukia kwenye haya mawazo (hata ukipitia thread zangu za kitambo utagundua hiko kitu)
Matokeo yake nilipata vidonda vya tumbo na kukonda sana na niliamini kweli nimeupata.
Lakini nilichogundua ni kwamba yale mawazo yalikuwa ni source ya mimi kupata vidonda vya tumbo na kukonda. Nikaacha hayo mawazo en nowdays nanenepa tu despite sikuenda kupima na niko na msimamo wa kutokwenda kupima.
Ushauri Wangu Kwa Vijana Wenzangu: 1. Tutake Risk huu ugonjwa upo jamani
2. Hakuna kitu kibaya cha kukiogopa kama uoga wenyewe
Am done unaweza kuongezea