Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Nina imani 110% na ninachokiandika hapa.
Rais wetu (hata kama hakuchaguliwa na wengi bado ni Rais wa nchi hii) hakujua kuwa alichokuwa unachokifanya kilikuwa counter-productive (nampa benefits of doubts kuwa alikuwa anajua pesa zilivyokuwa zinafujwa na alipaswa kuchukua hatua) lakini anakosea pakubwa katika jambo hili
HAKUNA mfabiashara smart atakaefanya shughuli zake nje ya mfumo, hata akipiga dili atafanya ndani ya mfumo (na kisheria Kabisa).
Kila aliepo jela leo hali ikitendeka si Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa au (kubwa lao) Mzee Kikwete atakaesalimika.
Kuwasulubu watu wasiohusika leo hii kwa ajili ya udhaifu katika kutunga na/au kufuatilia sheria wa Serikali zilizopita kutakuwa na tokeo MOJA TU: PRIVATE SECTOR KUFA.
Na ndio walipa kodi unaowategemea.
Rais wetu (hata kama hakuchaguliwa na wengi bado ni Rais wa nchi hii) hakujua kuwa alichokuwa unachokifanya kilikuwa counter-productive (nampa benefits of doubts kuwa alikuwa anajua pesa zilivyokuwa zinafujwa na alipaswa kuchukua hatua) lakini anakosea pakubwa katika jambo hili
HAKUNA mfabiashara smart atakaefanya shughuli zake nje ya mfumo, hata akipiga dili atafanya ndani ya mfumo (na kisheria Kabisa).
Kila aliepo jela leo hali ikitendeka si Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa au (kubwa lao) Mzee Kikwete atakaesalimika.
Kuwasulubu watu wasiohusika leo hii kwa ajili ya udhaifu katika kutunga na/au kufuatilia sheria wa Serikali zilizopita kutakuwa na tokeo MOJA TU: PRIVATE SECTOR KUFA.
Na ndio walipa kodi unaowategemea.