Yeah_sio waziri wa mambo ya
nje tu,.hakuna haja ya mawaziri wote na badala yake..kamati zichukue
nafasi za wizara zote..kwani ndio tumeona zinaleta tija kwenye maslahi
ya taifa.
Ndiyo, kwa sababu naona kikwete yeye ndo ana act kama minister of Foreign Affairs. Kama sasa hivi naskia yupo ethiopia, akitoka hapo kwa Obama.
Yeah_sio waziri wa mambo ya nje tu,.hakuna haja ya mawaziri wote na badala yake..kamati zichukue nafasi za wizara zote..kwani ndio tumeona zinaleta tija kwenye maslahi ya taifa.
Joka la mdimu Membe amekuwa kama mwandosya, sasa cha kufanya nae aombe kupumzishwa...