Hakuna haja ya kuhangaika na ndege iliyokamatwa Canada

Lituye

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
1,862
5,679
Kifupi ni kwamba mnaojidanganya kuwa ndege iliyokamatwa huko Canada na mkulima mwenzetu ndio pekee inaitia serikali hasara kubwa ni kujidanganya tu sisi malofa.

Kila mara huwa napita pale Airport katika shughuli zangu za kawaida. Cha kushangaza kila wakati nikipita nakuta ndege hizo mpya ukizihesabu zinafikia sio chini ya sita zikiwa zimepaki tu.

Hazifanyi biashara yoyote afadhali wangezipeleka katika banda la maonyesho pale Saba Saba. Ukipita asubuhi, mchana, usiku, unazikuta na ukirudi unazikuta ndege zipo tu zimekaa.

Nadhani hiyo ndege ya huko Canada iendelee kupaki tu huko huko maana ikija huku itajaza nafasi tu za parking pale Airport bila sababu. Ni mfanyabiashara gani makini anunue mahindi gunia 50 halafu hayauziki na amekaa nayo ndani miezi 7 kisha anaenda kuongeza magunia mengine 200?

Anyway maendeleo hayana vyama CCM.
 
Itakuwa basi ATCL ina ndege nyingi nyengine wamefanya siri. Kwa sababu huwa naiona Airbus yao huku zanzibar ikichana mawingu. Vile vile na hizo Bombadia naona zipo safarini kutwa, sasa izo sita zinazolala tu hapo airport serikali ituhabarishe, au mlet mada itakuwa unamaelezo ya idadi kamili ya ndege zinazotumia na ATCL
 
Itakuwa basi ATCL ina ndege nyingi nyengine wamefanya siri. Kwa sababu huwa naiona Airbus yao huku zanzibar ikichana mawingu. Vile vile na hizo Bombadia naona zipo safarini kutwa, sasa izo sita zinazolala tu hapo airport serikali ituhabarishe, au mlet mada itakuwa unamaelezo ya idadi kamili ya ndege zinazotumia na ATCL
Ni upuuzi wa hali ya juu, ndege aina ya air bus unapahswa kukaa angani masaa ya sio pungua sita adi 14. Ili kuleta faida, Sasa air busi ya kwetu ina kaa angani dakiki 45 au lisaa 1 kutoka Dar Kia au Dar zazibar hiyo inaitwa under 'utilisation of national resources'.....kwa Atcl JPM alikurupuka sana hakua na bussiness plan and strategy.....wa Tzn wangekua watu ambao wako economically conscious kama uku ulaya, ili lingetosha kuanguka utawala wake na chama chake.
 
Ni upuuzi wa hali ya juu, ndege aina ya air bus unapahswa kukaa angani masaa ya sio pungua sita adi 14. Ili kuleta faida, Sasa air busi ya kwetu ina kaa angani dakiki 45 au lisaa 1 kutoka Dar Kia au Dar zazibar hiyo inaitwa under 'utilisation of national resources'.....kwa Atcl JPM alikurupuka sana hakua na bussiness plan and strategy.....wa Tzn wangekua watu ambao wako economically conscious kama uku ulaya, ili lingetosha kuanguka utawala wake na chama chake.
So in a full day, Airbus yetu inakaa angani kwa mda gani? Dubai to Zanzibar ni 5 hours -6 hours , vipi na Fly dubai huwa wana under utilize national resources?
 
Back
Top Bottom