Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Hakuna nchi Dunia hii iliyowahi kuandika Katiba mpya bila ya kuwa na crisis, na TZ haiwezi kuwa tofauti hivyo acheni kujidanganya, halijawahi kutokea na halitakuja kutokea, kusubiri Katiba mpya TZ ni sawa na kumtamani Mwanamke aliyeolewa na kusubiri siku Mume wake akifa ndo umpate, tafuteni hela acheni ujinga, hakuna Katiba mpya TZ, ...