Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Ok fine kwani uwepo wa wabunge wa chama cha Magu kumeleta impact gani kwa maendeleo ya nchi ukitoa maendeleo yanayosemwa kwenye makabrasha?Kuwepo kwao hakuonyeshi kama wapo, wapo wapo tu.