Hakuna dini wala imani ambayo Mungu ameileta kwa wanadamu.

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Dec 25, 2016
2,197
2,024
Habari wana GT. Natumaini sote ni wazima wa afya.
Leo naileta mada hii jukwaani mara baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu Uwepo wa Mungu lakini pia kuhusu imani na dini.Nilichogundua Mungu hana dini wala imani ya aina yoyote.Ila hizi imani na dini ni matokeo ya binadamu katika kutafuta ustawi wa jamii zao hapo kale.

Uwepo wa Mungu sina shaka nao kabisa nilishathibitisha hilo before na niliweka thread hapa, kupitia thread ile iliondoa utata kwa kiasi kikubwa kuhusu uwepo wa Mungu katika universe na pia kuweka hitimisho kuwa Mungu yupo.Mungu yupo katika kila jamii mbalimbali hapa duniani hapo kale hata sasa hakuna jamii/kabila/taifa ambalo halikuwa na Mungu fulani.
Plutarch myunani aliyekufa mwaka 120b.k na mwandishi wa habari za maisha ya wayunani na warumi. Katika kitabu cha kinachoitwa " Parallel lives of illustrious Greek and Romans"(maisha sambamba ya wayunani na warumi mashuhuri), alisema kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu, isiyo na mfalme, wala nyumba, wala hazina, wala mahali pa kuchezea michezo, lakini mji usiyo na hekalu wala Mungu fulani hakuna mtu aliyepata kuuona mji wa namna hiyo, na hautauna kamwe"mwisho wa kunukuu.Kumcha Mungu ni sehemu asili ya mwanadamu.Hapa haijalishi ni Mungu wa namna gani....
Ukiisoma historia ya Ibrahimu(baba wa imani) ambaye ndiye chanzo cha hizi dini/imani za leo utagunduwa hakuwa na dini au imani ya dini. Ibrahimu aliamini Mungu tu na si tofauti na hapo.Dini zilianza miaka mingi baadae sana ili kustawisha jamii za watu na kutunza mila na tamaduni zao.
Hata jamii za kiafrika kabla ya ujio wa wakoloni walikuwa na Muingu yao ambayo waliabudu na kuitukuza.
Hizi imani/dini zinamwelezea Mungu kwa upotoshaji mkubwa hadi inafika hatua baadhi wa watu wanafikia kuhoji uwepo wake.
Sifa na tabia anazopakwa Mungu katika dini hizi za watu si za kweli hivyo zinaleta contradiction kuhusu uwepo wa Mungu.
Mungu ameumba ulimwengu na vilivyomo basi, alafu akawapa mamlaka viumbe wake waishi watakavyo.We jaribu kujiuliza kama Mungu angetaka binadamu tuwe na dini/imani ili kumjuwa yeye kwanini asingeweka moja tu kwa viumbe wake wote? Kwanini hadi asuburi binadamu wazue dini zao ambazo zinakinzana kumwelezea Mungu mmoja?
Hivyo hajaleta dini wala imani pia Mungu hajaumba sheteni.MUNGU YUPO ILA HANA DINI WALA IMANI.
Nawasilisha...
 
vp kuhusu quran na biblia unaviongeleaje,vp kuhusu yesu alishawahi kuexist? na mission yake ilikua nini kutokana na utafiti wako.
vp muhamad ni nani hadi kufikia kuwa na waumini wengi hivi duniani hata baada ya kifo chake miaka mingi iliyopita
 
Kupitia mafundisho ya hizo dini ndio wengi tumemjua Mungu kupitia huko kwa maana jinsi tumjuavyo ni vile dini zilivyomuelezea kwenye mafundisho yake,hata wewe kusema Mungu ni mmoja tu ni matokeo ya maelezo ya dini kumuhusu Mungu kwamba zimeeleza Mungu ni mmoja tu.
 
Hivi Watu Kama kina Adam,Hawa,Seth,Nuhu,Ibrahimu,Isaka,Ismael,Jacob,Joseph,Musa,Suleiman,Isaya,Enock,e.tc.walikuwa na dini gani?i.e dini yao ilikuwa inaitwaje?
Ungeuliza walikuwa wakifundisha na kuhubiri nini? Maana hiyo ndio point ya msingi.
 
Hao wote ni miongoni mwa jamii ambazo zilitaka kustawisha jamii zao.Hata afrika kulikowako na watu wengi ambao walikuwa hao yes u na Muhammad sema hawakuweza kuandika historia zao.
vp kuhusu quran na biblia unaviongeleaje,vp kuhusu yesu alishawahi kuexist? na mission yake ilikua nini kutokana na utafiti wako.
vp muhamad ni nani hadi kufikia kuwa na waumini wengi hivi duniani hata baada ya kifo chake miaka mingi iliyopita
 
Hawa watu hawakuwa na dini ndo mana si ajabu leo kuona hizi dini zinawagombania mara walikuwa wa Islam mara wakristo au yahudi
Hivi Watu Kama kina Adam,Hawa,Seth,Nuhu,Ibrahimu,Isaka,Ismael,Jacob,Joseph,Musa,Suleiman,Isaya,Enock,e.tc.walikuwa na dini gani?i.e dini yao ilikuwa inaitwaje?
 
Mi sijasema Mungu mmoja nisome vizuri.Ila nimesema kila jamii ilikuwa na Mungu/Miungu
Kupitia mafundisho ya hizo dini ndio wengi tumemjua Mungu kupitia huko kwa maana jinsi tumjuavyo ni vile dini zilivyomuelezea kwenye mafundisho yake,hata wewe kusema Mungu ni mmoja tu ni matokeo ya maelezo ya dini kumuhusu Mungu kwamba zimeeleza Mungu ni mmoja tu.
 
Umeandika maujinga tupu
Habari wana GT. Natumaini sote ni wazima wa afya.
Leo naileta mada hii jukwaani mara baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu Uwepo wa Mungu lakini pia kuhusu imani na dini.Nilichogundua Mungu hana dini wala imani ya aina yoyote.Ila hizi imani na dini ni matokeo ya binadamu katika kutafuta ustawi wa jamii zao hapo kale.

Uwepo wa Mungu sina shaka nao kabisa nilishathibitisha hilo before na niliweka thread hapa, kupitia thread ile iliondoa utata kwa kiasi kikubwa kuhusu uwepo wa Mungu katika universe na pia kuweka hitimisho kuwa Mungu yupo.Mungu yupo katika kila jamii mbalimbali hapa duniani hapo kale hata sasa hakuna jamii/kabila/taifa ambalo halikuwa na Mungu fulani.
Plutarch myunani aliyekufa mwaka 120b.k na mwandishi wa habari za maisha ya wayunani na warumi. Katika kitabu cha kinachoitwa " Parallel lives of illustrious Greek and Romans"(maisha sambamba ya wayunani na warumi mashuhuri), alisema kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu, isiyo na mfalme, wala nyumba, wala hazina, wala mahali pa kuchezea michezo, lakini mji usiyo na hekalu wala Mungu fulani hakuna mtu aliyepata kuuona mji wa namna hiyo, na hautauna kamwe"mwisho wa kunukuu.Kumcha Mungu ni sehemu asili ya mwanadamu.Hapa haijalishi ni Mungu wa namna gani....
Ukiisoma historia ya Ibrahimu(baba wa imani) ambaye ndiye chanzo cha hizi dini/imani za leo utagunduwa hakuwa na dini au imani ya dini. Ibrahimu aliamini Mungu tu na si tofauti na hapo.Dini zilianza miaka mingi baadae sana ili kustawisha jamii za watu na kutunza mila na tamaduni zao.
Hata jamii za kiafrika kabla ya ujio wa wakoloni walikuwa na Muingu yao ambayo waliabudu na kuitukuza.
Hizi imani/dini zinamwelezea Mungu kwa upotoshaji mkubwa hadi inafika hatua baadhi wa watu wanafikia kuhoji uwepo wake.
Sifa na tabia anazopakwa Mungu katika dini hizi za watu si za kweli hivyo zinaleta contradiction kuhusu uwepo wa Mungu.
Mungu ameumba ulimwengu na vilivyomo basi, alafu akawapa mamlaka viumbe wake waishi watakavyo.We jaribu kujiuliza kama Mungu angetaka binadamu tuwe na dini/imani ili kumjuwa yeye kwanini asingeweka moja tu kwa viumbe wake wote? Kwanini hadi asuburi binadamu wazue dini zao ambazo zinakinzana kumwelezea Mungu mmoja?
Hivyo hajaleta dini wala imani pia Mungu hajaumba sheteni.MUNGU YUPO ILA HANA DINI WALA IMANI.
Nawasilisha...
 
Habari wana GT. Natumaini sote ni wazima wa afya.
Leo naileta mada hii jukwaani mara baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu Uwepo wa Mungu lakini pia kuhusu imani na dini.Nilichogundua Mungu hana dini wala imani ya aina yoyote.Ila hizi imani na dini ni matokeo ya binadamu katika kutafuta ustawi wa jamii zao hapo kale.

Uwepo wa Mungu sina shaka nao kabisa nilishathibitisha hilo before na niliweka thread hapa, kupitia thread ile iliondoa utata kwa kiasi kikubwa kuhusu uwepo wa Mungu katika universe na pia kuweka hitimisho kuwa Mungu yupo.Mungu yupo katika kila jamii mbalimbali hapa duniani hapo kale hata sasa hakuna jamii/kabila/taifa ambalo halikuwa na Mungu fulani.
Plutarch myunani aliyekufa mwaka 120b.k na mwandishi wa habari za maisha ya wayunani na warumi. Katika kitabu cha kinachoitwa " Parallel lives of illustrious Greek and Romans"(maisha sambamba ya wayunani na warumi mashuhuri), alisema kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu, isiyo na mfalme, wala nyumba, wala hazina, wala mahali pa kuchezea michezo, lakini mji usiyo na hekalu wala Mungu fulani hakuna mtu aliyepata kuuona mji wa namna hiyo, na hautauna kamwe"mwisho wa kunukuu.Kumcha Mungu ni sehemu asili ya mwanadamu.Hapa haijalishi ni Mungu wa namna gani....
Ukiisoma historia ya Ibrahimu(baba wa imani) ambaye ndiye chanzo cha hizi dini/imani za leo utagunduwa hakuwa na dini au imani ya dini. Ibrahimu aliamini Mungu tu na si tofauti na hapo.Dini zilianza miaka mingi baadae sana ili kustawisha jamii za watu na kutunza mila na tamaduni zao.
Hata jamii za kiafrika kabla ya ujio wa wakoloni walikuwa na Muingu yao ambayo waliabudu na kuitukuza.
Hizi imani/dini zinamwelezea Mungu kwa upotoshaji mkubwa hadi inafika hatua baadhi wa watu wanafikia kuhoji uwepo wake.
Sifa na tabia anazopakwa Mungu katika dini hizi za watu si za kweli hivyo zinaleta contradiction kuhusu uwepo wa Mungu.
Mungu ameumba ulimwengu na vilivyomo basi, alafu akawapa mamlaka viumbe wake waishi watakavyo.We jaribu kujiuliza kama Mungu angetaka binadamu tuwe na dini/imani ili kumjuwa yeye kwanini asingeweka moja tu kwa viumbe wake wote? Kwanini hadi asuburi binadamu wazue dini zao ambazo zinakinzana kumwelezea Mungu mmoja?
Hivyo hajaleta dini wala imani pia Mungu hajaumba sheteni.MUNGU YUPO ILA HANA DINI WALA IMANI.
Nawasilisha...

DINI NI NINI? Ni mpango wa Mwanadamu kumtafuta Mungu, ndiyo maana hata paganism na atheism ni Dini pia. Kwa hiyo dini zinaweza kuwa as many as possible, hata wewe unaweza kuanzisha ya kwako.

Still, ukisoma maandiko matakatifu utakuta kuna kitu kinaitwa WOKOVU. Tofauti na dini, WOKOVU ni mpango wa MUNGU kumtafuta Mwanadamu, kupitia damu ya Yesu iliyomwagika Msalabani. Sitaki niende deep sana katika hili kwa sababu mimi ni mlokole, isije ikaonekana navutia kamba kwangu, na ukizingatia kuwa hapa si jukwaa la mahubiri. Kwa hiyo utakuta tofauti iliyopo kati ya dhana hizi mbili ni kuwa ya kwanza ina multiple sources na inafanywa na wanadamu, wakati ya pili inatokana na Mungu mwenyewe na ilishafanyika mara moja tu, once and for all baada ya Yesu kuwa amemwaga damu pale Kalvari. In fact, walokole walitakiwa wasiwe na dini, ila the fact is, there was no way wangeweza kuendesha gatherings zao bila kuwa na kundi ambalo liko formally recognised na system ya utawala wa nchi zao, kwa hiyo inabidi wafanye registrations ya organisations zao ili waweze ku-comply na sheria za nchi zao, na waziite kwa majina ambayo hatimaye yatajulikana kuwa ni ya DINI, mfano ASSEMBLIES OF GOD.

Kwa kifupi tu ni kwamba Ulokole siyo DINI, ila wengi wao wana dini kutokana na sababu nilizozitaja hapa juu. DINI inatokana na kikundi cha watu wenye imani moja, inayoendeshwa pasipo kukiuka sheria za nchi. Na ili u-comply na sheria za nchi lazima uwe registered!
 
MKuu nikweli Dini hakuna wala Mungu hana Dini Maana Dini ni mpango wa mwanadamu tu katika kumtafuta Mungu
Nadhani pia inaonyesha ktika utoto wako ulikosa mwalimu mzuri wa kukufundisha kuhusu dini,
Maana hapa sijaona jambo lolote jipya ulilolileta.
Lakini naomba Ukajifunze upya kuhusu Imani ujifunze na ujue Imani ni nini Sio by defination but faith by meaning.
Ukijifunza kuhusu Imani kwa usahihi naamini utapata kitu kipya ambacho kitakuwa na msaada kwako.
Ushauri wa mwisho jifunze kujifunza kabla ya kusema hoja zako unaonekana kabisa uliishia katika ukomo fulani tu
lakini ungeamua kuendelea ungefika kwa maarifa mbali zaidi.
 
DINI NI NINI? Ni mpango wa Mwanadamu kumtafuta Mungu, ndiyo maana hata paganism na atheism ni Dini pia. Kwa hiyo dini zinaweza kuwa as many as possible, hata wewe unaweza kuanzisha ya kwako.

Still, ukisoma maandiko matakatifu utakuta kuna kitu kinaitwa WOKOVU. Tofauti na dini, WOKOVU ni mpango wa MUNGU kumtafuta Mwanadamu, kupitia damu ya Yesu iliyomwagika Msalabani. Sitaki niende deep sana katika hili kwa sababu mimi ni mlokole, isije ikaonekana navutia kamba kwangu, na ukizingatia kuwa hapa si jukwaa la mahubiri. Kwa hiyo utakuta tofauti iliyopo kati ya dhana hizi mbili ni kuwa ya kwanza ina multiple sources na inafanywa na wanadamu, wakati ya pili inatokana na Mungu mwenyewe na ilishafanyika mara moja tu, once and for all baada ya Yesu kuwa amemwaga damu pale Kalvari. In fact, walokole walitakiwa wasiwe na dini, ila the fact is, there was no way wangeweza kuendesha gatherings zao bila kuwa na kundi ambalo liko formally recognised na system ya utawala wa nchi zao, kwa hiyo inabidi wafanye registrations ya organisations zao ili waweze ku-comply na sheria za nchi zao, na waziite kwa majina ambayo hatimaye yatajulikana kuwa ni ya DINI, mfano ASSEMBLIES OF GOD.

Kwa kifupi tu ni kwamba Ulokole siyo DINI, ila wengi wao wana dini kutokana na sababu nilizozitaja hapa juu. DINI inatokana na kikundi cha watu wenye imani moja, inayoendeshwa pasipo kukiuka sheria za nchi. Na ili u-comply na sheria za nchi lazima uwe registered!
Mkuu nini maana ya imani?tafadhali
 
MKuu nikweli Dini hakuna wala Mungu hana Dini Maana Dini ni mpango wa mwanadamu tu katika kumtafuta Mungu
Nadhani pia inaonyesha ktika utoto wako ulikosa mwalimu mzuri wa kukufundisha kuhusu dini,
Maana hapa sijaona jambo lolote jipya ulilolileta.
Lakini naomba Ukajifunze upya kuhusu Imani ujifunze na ujue Imani ni nini Sio by defination but faith by meaning.
Ukijifunza kuhusu Imani kwa usahihi naamini utapata kitu kipya ambacho kitakuwa na msaada kwako.
Ushauri wa mwisho jifunze kujifunza kabla ya kusema hoja zako unaonekana kabisa uliishia katika ukomo fulani tu
lakini ungeamua kuendelea ungefika kwa maarifa mbali zaidi.
Tusaidie mkuu nini maana ya imani?
 
Habari wana GT. Natumaini sote ni wazima wa afya.
Leo naileta mada hii jukwaani mara baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu Uwepo wa Mungu lakini pia kuhusu imani na dini.Nilichogundua Mungu hana dini wala imani ya aina yoyote.Ila hizi imani na dini ni matokeo ya binadamu katika kutafuta ustawi wa jamii zao hapo kale.

Uwepo wa Mungu sina shaka nao kabisa nilishathibitisha hilo before na niliweka thread hapa, kupitia thread ile iliondoa utata kwa kiasi kikubwa kuhusu uwepo wa Mungu katika universe na pia kuweka hitimisho kuwa Mungu yupo.Mungu yupo katika kila jamii mbalimbali hapa duniani hapo kale hata sasa hakuna jamii/kabila/taifa ambalo halikuwa na Mungu fulani.
Plutarch myunani aliyekufa mwaka 120b.k na mwandishi wa habari za maisha ya wayunani na warumi. Katika kitabu cha kinachoitwa " Parallel lives of illustrious Greek and Romans"(maisha sambamba ya wayunani na warumi mashuhuri), alisema kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu, isiyo na mfalme, wala nyumba, wala hazina, wala mahali pa kuchezea michezo, lakini mji usiyo na hekalu wala Mungu fulani hakuna mtu aliyepata kuuona mji wa namna hiyo, na hautauna kamwe"mwisho wa kunukuu.Kumcha Mungu ni sehemu asili ya mwanadamu.Hapa haijalishi ni Mungu wa namna gani....
Ukiisoma historia ya Ibrahimu(baba wa imani) ambaye ndiye chanzo cha hizi dini/imani za leo utagunduwa hakuwa na dini au imani ya dini. Ibrahimu aliamini Mungu tu na si tofauti na hapo.Dini zilianza miaka mingi baadae sana ili kustawisha jamii za watu na kutunza mila na tamaduni zao.
Hata jamii za kiafrika kabla ya ujio wa wakoloni walikuwa na Muingu yao ambayo waliabudu na kuitukuza.
Hizi imani/dini zinamwelezea Mungu kwa upotoshaji mkubwa hadi inafika hatua baadhi wa watu wanafikia kuhoji uwepo wake.
Sifa na tabia anazopakwa Mungu katika dini hizi za watu si za kweli hivyo zinaleta contradiction kuhusu uwepo wa Mungu.
Mungu ameumba ulimwengu na vilivyomo basi, alafu akawapa mamlaka viumbe wake waishi watakavyo.We jaribu kujiuliza kama Mungu angetaka binadamu tuwe na dini/imani ili kumjuwa yeye kwanini asingeweka moja tu kwa viumbe wake wote? Kwanini hadi asuburi binadamu wazue dini zao ambazo zinakinzana kumwelezea Mungu mmoja?
Hivyo hajaleta dini wala imani pia Mungu hajaumba sheteni.MUNGU YUPO ILA HANA DINI WALA IMANI.
Nawasilisha...

Kaka hapa naomba unisaidie kwa kunipa maana ya IMANI na maana ya DINI.

Pili,umejuaje kama Ibrahimu hakuwa na dini bali alikuwa na imani ?

Tatu,je unaweza kumthamini usie mjua yaani kwa lugha nyepesi je unaweza kimuelezea usie mjua ?

Nipo ....
 
Back
Top Bottom