Hakuna dawa kwenye zahanati karibu zote hapa wilayani kwetu

Nyakibimbili

Senior Member
May 4, 2019
185
287
Ndg zangu wana jf, kuna janga kubwa la ukosefu wa dawa kwenye zahanati katibu zote hapa wilayani kwetu,,huu sasa ni katibu mwezi wa tano hakuna hata panadol ndg zangu na kibaya zaidi dozi ya mseto imepanda kutoka 1500 hadi 4000 kwenye maduka ya watu binafsi,,huu si umbeya ni habari sahihi.
 
Ndg zangu wana jf, kuna janga kubwa la ukosefu wa dawa kwenye zahanati katibu zote hapa wilayani kwetu,,huu sasa ni katibu mwezi wa tano hakuna hata panadol ndg zangu na kibaya zaidi dozi ya mseto imepanda kutoka 1500 hadi 4000 kwenye maduka ya watu binafsi,,huu si umbeya ni habari sahihi.
Hiyo ni nchi nzima
 
Ndg zangu wana jf, kuna janga kubwa la ukosefu wa dawa kwenye zahanati katibu zote hapa wilayani kwetu,,huu sasa ni katibu mwezi wa tano hakuna hata panadol ndg zangu na kibaya zaidi dozi ya mseto imepanda kutoka 1500 hadi 4000 kwenye maduka ya watu binafsi,,huu si umbeya ni habari sahihi.
Huo uongo, Zahanati sasa HV ikikosa dawa ni uzembe wa watumishi. Maana kila miezi mitatu kuna order ya Dawa Msd serikali inalipia moja kwa moja, kwny account ya kituo ya msd, na kila miezi 3 kuna ufadhili wa global fund kupitia health sector basket funds, ambapo 33.33% ya hela ni ya kununulia dawa, hlf bdo kuna@ mapato ya kituo, 50% ya mapato ni kununulia dawa. Sehemu ambapo dawa kuisha huwezi kulaumu ni Hosp kubwa, hasa wilaya na za mikoa, na baadhi ya vituo vya afya vyenye wagonjwa wengi, mathalani kituo cha afya kinachohudumia wagonjwa 8000 kwa mwezi huwezi linganisha na zahanati yng wgnjwa 900 kwa mwezi. Kwny matumizi ya dawa. Hosp za wilaya approximately wagonjwa 30000-50000 kwa mwezi matumizi ya dawa yatakuwa juu
 
Huo uongo, Zahanati sasa HV ikikosa dawa ni uzembe wa watumishi. Maana kila miezi mitatu kuna order ya Dawa Msd serikali inalipia moja kwa moja, kwny account ya kituo ya msd, na kila miezi 3 kuna ufadhili wa global fund kupitia health sector basket funds, ambapo 33.33% ya hela ni ya kununulia dawa, hlf bdo kuna@ mapato ya kituo, 50% ya mapato ni kununulia dawa. Sehemu ambapo dawa kuisha huwezi kulaumu ni Hosp kubwa, hasa wilaya na za mikoa, na baadhi ya vituo vya afya vyenye wagonjwa wengi, mathalani kituo cha afya kinachohudumia wagonjwa 8000 kwa mwezi huwezi linganisha na zahanati yng wgnjwa 900 kwa mwezi. Kwny matumizi ya dawa. Hosp za wilaya approximately wagonjwa 30000-50000 kwa mwezi matumizi ya dawa yatakuwa juu
Huo ni mchanganuo tu kaka,,lkn me nakuapia jina tukufu hapa wilayani kwetu zahanati ziko hoi dawa hakuna inaenda kuwa miezi 5 sasa yaani hata panadol,mtaani dozi ya mseto ni tshs 4000 badala ya 1500
 
Back
Top Bottom