ccm imejimilikisha Majengo,ardhi,viwanja na rasilimali nyingi zilizokuwa zilizokuwa Mali ya umma kipindi nchi iko mfumo wa Chaka kimoja.makao makuu ya chadema hata mimi yananitisha niwaone janja janja
Ndio nyie nyie mnaosema messi akihama la liga hawezi kushine kwenye ligi nyingine, msipende kuwa watabiri kwa ishu za kipuuzi, mbona kuna wabunge wa upinzani wanaongoza majimbo vizuri kuliko wabunge wa ccm?Naenda moja kwa moja kwenye mada.
Ccm ni chama tawala lkn kimefika mahali kinaendeshwa kwa matakwa ya mtu mmoja , wengine wote wanafuata amri na maelekezo na huyo mtu.
Kwa bahati mbaya mwenyekiti wa chama ndiye rais pia, hii inapelekea mwenyekiti na ccm kuwa kama Mungu wa ccm kwani yeye ndiye rais na mwenyekiti pia. Kibaya zaid mwenyekiti huyu hapendi kupingwa wala kukosolewa na yyote .....
Wanaccm tumebaki kunung'unikia uvunguni hatuwezi kusemea hadharani maani ukibainika kumkosoa hadharani utaitwa msariti na pengine kufutiwa uanchama wako.
Ktk uongozi was juu wa chama wa miaka ya nyuma hakujawahi tokea uongozi wa namna hii.
Ukimsifia tu mwenyekiti jiandae kulamba cheo ukienda kinyume jiandae kukumbana na ghasia.
Pamoja na ongwe hili la uongozi ndani ya chama twawala bado sioni chama mbadala ambacho kinaweza kupambana mpaka kushika hatamu ya uongozi badala ya ccm.
Nikiangalia chadema bado naona wapo kisanii sanii tu kwa sababu zifuatazo;
Chadema pamoja kuwa chama kikuu cha upinzani lkn hawana hata ofisi moja wanayomiliki...angalia makao makuu yao...
Jiulize pesa wanapeleka wapi mpaka hata kujenga ofisi wanashindwa?
Tukiacha na ofisi nikija kwenye uongozi ukakutana na yafuatayo
Nao pia wanakumbwa na ombwe la uongozi...ndiyo nao wana udikta ulio wazi kbsa.
Nasema hivi kwasababu mwenyekiti wa chama anaonekana ndiye mmliki wa chama maamuzi yake hayapingwi.
Angalia kuingia kwa Lowasa chadema maamuzi yalifanywa na mwenyekiti na baadae kukaa vikao hewa kuwahadaa wenzie mpaka Dr. Slaa akaamua kujiweka kando.
Ukija kwa cuf unakutana na mambo Yale Yale...muangalie prof. Lipumba amekubali kutumika kwaajili ya kujaza tumbo lake, huyu nae alitaka tumchague awe Rais ...je tungemchagua kwa njaaa hii tungekuwa salama?
Ukiangalia Act unakutana na ya akina Kitila na Ana Mngwira full njaa.
Emu niambieni twende wapi na kwa chama gani kupata ukombozi kamili?
Nabaki kusema heri kubakia na zimwi likujualo kuliko kukimbili zimwi jipya .
Lazaro Nyarando hakuna ulichokwepa my dear.
Nahitimisha kwakusema wakuiponya ccm in sisi wenyewe wana ccm.
Unajilisha upepoUnadhani hayawekwi wazi Kwa walio na chama chao?./.tatizo ni kuwa hayakufikii wewe ambae huna faida na chama,sisi wenye nacho tunajua mapato na ruzuku yetu kidogo tunayopata ya kuanzia ngazi ya wilaya,ila hatujui ya chama chenu maana hakina faida na sisi na wala hatuhitaji kujua,. Ila nyie wenye chama chenu mkijua mapato na ruzuku yenu itawasaidia nyie sio sisi tunaojichukia.
unaijua vizuri historia ya Tanu Leo Ndio Ccm ilipokuwa inpigania uhuru ofisi zake zilikuwa na Hali gani wananchi hawakuangalia vyote. hata sisi Wapinzan hata kama Chadema ingekuwa ina Ofis chini ya mti hamjatushawishi tuamini Ccm hata kwa Sekunde chachehapana mkuu.Mimi natoa positive comment kabisa
kuwa na ofisi ya chama yenye hadhi kuna communicate kuaminika....watu wengi watawaamini
kwa hio kuwa na ofisi ni jambo la msingi sana
Lini Wapinzan waliendesha nchi ukauona Uongo wao. Ccm ni mafisadi na wengi waviongoz ni wachumia tumbo, mikataba yote ya kilaghai ndani ya nchi hii chimbuko lake ni Ccm. Acha kujitoa Akili wewe kama Kada muaminifu wa chama chako komaa nacho. Lakini usitake kuisafisha Ccm haisafishiki.Lakin wapinzani wamezidsha
1.MAJENGO YANAENDANA NA WINGI WA WANACHAMA NA MAHITAJI YA CHAMA.Naenda moja kwa moja kwenye mada.
Ccm ni chama tawala lkn kimefika mahali kinaendeshwa kwa matakwa ya mtu mmoja , wengine wote wanafuata amri na maelekezo na huyo mtu.
Kwa bahati mbaya mwenyekiti wa chama ndiye rais pia, hii inapelekea mwenyekiti na ccm kuwa kama Mungu wa ccm kwani yeye ndiye rais na mwenyekiti pia. Kibaya zaid mwenyekiti huyu hapendi kupingwa wala kukosolewa na yyote .....
Wanaccm tumebaki kunung'unikia uvunguni hatuwezi kusemea hadharani maani ukibainika kumkosoa hadharani utaitwa msariti na pengine kufutiwa uanchama wako.
Ktk uongozi was juu wa chama wa miaka ya nyuma hakujawahi tokea uongozi wa namna hii.
Ukimsifia tu mwenyekiti jiandae kulamba cheo ukienda kinyume jiandae kukumbana na ghasia.
Pamoja na ongwe hili la uongozi ndani ya chama twawala bado sioni chama mbadala ambacho kinaweza kupambana mpaka kushika hatamu ya uongozi badala ya ccm.
Nikiangalia chadema bado naona wapo kisanii sanii tu kwa sababu zifuatazo;
Chadema pamoja kuwa chama kikuu cha upinzani lkn hawana hata ofisi moja wanayomiliki...angalia makao makuu yao...
Jiulize pesa wanapeleka wapi mpaka hata kujenga ofisi wanashindwa?
Tukiacha na ofisi nikija kwenye uongozi ukakutana na yafuatayo
Nao pia wanakumbwa na ombwe la uongozi...ndiyo nao wana udikta ulio wazi kbsa.
Nasema hivi kwasababu mwenyekiti wa chama anaonekana ndiye mmliki wa chama maamuzi yake hayapingwi.
Angalia kuingia kwa Lowasa chadema maamuzi yalifanywa na mwenyekiti na baadae kukaa vikao hewa kuwahadaa wenzie mpaka Dr. Slaa akaamua kujiweka kando.
Ukija kwa cuf unakutana na mambo Yale Yale...muangalie prof. Lipumba amekubali kutumika kwaajili ya kujaza tumbo lake, huyu nae alitaka tumchague awe Rais ...je tungemchagua kwa njaaa hii tungekuwa salama?
Ukiangalia Act unakutana na ya akina Kitila na Ana Mngwira full njaa.
Emu niambieni twende wapi na kwa chama gani kupata ukombozi kamili?
Nabaki kusema heri kubakia na zimwi likujualo kuliko kukimbili zimwi jipya .
Lazaro Nyarando hakuna ulichokwepa my dear.
Nahitimisha kwakusema wakuiponya ccm in sisi wenyewe wana ccm.
Tatizo ni wanaCCM kutojitambua na kufanya siasa za kuchumia tumbo.Naenda moja kwa moja kwenye mada.
Ccm ni chama tawala lkn kimefika mahali kinaendeshwa kwa matakwa ya mtu mmoja , wengine wote wanafuata amri na maelekezo na huyo mtu.
Kwa bahati mbaya mwenyekiti wa chama ndiye rais pia, hii inapelekea mwenyekiti na ccm kuwa kama Mungu wa ccm kwani yeye ndiye rais na mwenyekiti pia. Kibaya zaid mwenyekiti huyu hapendi kupingwa wala kukosolewa na yyote .....
Wanaccm tumebaki kunung'unikia uvunguni hatuwezi kusemea hadharani maani ukibainika kumkosoa hadharani utaitwa msariti na pengine kufutiwa uanchama wako.
Ktk uongozi was juu wa chama wa miaka ya nyuma hakujawahi tokea uongozi wa namna hii.
Ukimsifia tu mwenyekiti jiandae kulamba cheo ukienda kinyume jiandae kukumbana na ghasia.
Pamoja na ongwe hili la uongozi ndani ya chama twawala bado sioni chama mbadala ambacho kinaweza kupambana mpaka kushika hatamu ya uongozi badala ya ccm.
Nikiangalia chadema bado naona wapo kisanii sanii tu kwa sababu zifuatazo;
Chadema pamoja kuwa chama kikuu cha upinzani lkn hawana hata ofisi moja wanayomiliki...angalia makao makuu yao...
Jiulize pesa wanapeleka wapi mpaka hata kujenga ofisi wanashindwa?
Tukiacha na ofisi nikija kwenye uongozi ukakutana na yafuatayo
Nao pia wanakumbwa na ombwe la uongozi...ndiyo nao wana udikta ulio wazi kbsa.
Nasema hivi kwasababu mwenyekiti wa chama anaonekana ndiye mmliki wa chama maamuzi yake hayapingwi.
Angalia kuingia kwa Lowasa chadema maamuzi yalifanywa na mwenyekiti na baadae kukaa vikao hewa kuwahadaa wenzie mpaka Dr. Slaa akaamua kujiweka kando.
Ukija kwa cuf unakutana na mambo Yale Yale...muangalie prof. Lipumba amekubali kutumika kwaajili ya kujaza tumbo lake, huyu nae alitaka tumchague awe Rais ...je tungemchagua kwa njaaa hii tungekuwa salama?
Ukiangalia Act unakutana na ya akina Kitila na Ana Mngwira full njaa.
Emu niambieni twende wapi na kwa chama gani kupata ukombozi kamili?
Nabaki kusema heri kubakia na zimwi likujualo kuliko kukimbili zimwi jipya .
Lazaro Nyarando hakuna ulichokwepa my dear.
Nahitimisha kwakusema wakuiponya ccm in sisi wenyewe wana ccm.
umemaliza eeh
Kwa akili yako fupi hata Chakubanga wenu hakubaliani nawe.
very simple psychology...communication of Trustunaijua vizuri historia ya Tanu Leo Ndio Ccm ilipokuwa inpigania uhuru ofisi zake zilikuwa na Hali gani wananchi hawakuangalia vyote. hata sisi Wapinzan hata kama Chadema ingekuwa ina Ofis chini ya mti hamjatushawishi tuamini Ccm hata kwa Sekunde chache