Nimepitia sera za vyama vitatu vikuu hapa nchini, CUF, CDM and CCM sikuona hata chama kimoja kinachotaka kuwa na serikali moja...ya JMT
CUF-wao walianza tangu awali kwamba wakiingia madaraka wataanzisha serikali tatu..hayo ni kwa majibu ya mapendekezo mbalimbali za tume ..mfano nyalali, etc..
CDM- wao increasingly wameanza kuwafuata CUF kwa kudai serikali ya Tanganyika indirectly wanataka serikali tatu..ikiwemo serikali ya majimbo hapa niseme mimi napenda wazo la serikali ya majimbo ..nafikiri kutakuwa na ufanisi katika utendaji...
CCM- wao wamekazania serikali mbili na asiyetaka hilo nyerere alishasema aondoke kwenye chama walianza G55 wamenyamaza hawapo tena...
Swali: Iko wapi chama kinachotaka kuwa na serikali moja tu ya Tanzania..ambapo tutapunguza msururu wa viongozi (gharama), mgongano wa zanzibar ni nchi au si nchi, tanganyika irudi isirudi! tukasonga mbele kama nchi moja?
Iko chama kinachotetea serikali moja ya JMT?
CUF-wao walianza tangu awali kwamba wakiingia madaraka wataanzisha serikali tatu..hayo ni kwa majibu ya mapendekezo mbalimbali za tume ..mfano nyalali, etc..
CDM- wao increasingly wameanza kuwafuata CUF kwa kudai serikali ya Tanganyika indirectly wanataka serikali tatu..ikiwemo serikali ya majimbo hapa niseme mimi napenda wazo la serikali ya majimbo ..nafikiri kutakuwa na ufanisi katika utendaji...
CCM- wao wamekazania serikali mbili na asiyetaka hilo nyerere alishasema aondoke kwenye chama walianza G55 wamenyamaza hawapo tena...
Swali: Iko wapi chama kinachotaka kuwa na serikali moja tu ya Tanzania..ambapo tutapunguza msururu wa viongozi (gharama), mgongano wa zanzibar ni nchi au si nchi, tanganyika irudi isirudi! tukasonga mbele kama nchi moja?
Iko chama kinachotetea serikali moja ya JMT?