Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,586
Wanasiasa mjitahidi na muwe wakweli, hoja zingine ndio zinazokuja kuwatia matatani baada wananchi wakianzakuona mlichi kiaidi hawakipati. Leo hii unamjaza mpiga kura ahadi ambzo hata wewe mwenyewe hujakaa chini kuona kama zinatekelezeka au la. Kitu kimoja lazima wananchi wajuwe kwamba hakuna Bata wa bure, hakuna serikali iyenye uwezo wa kukulisha Bata mpaka uridhike, nikimaanisha hakuna serikali itakulipa mshahara unaokuwezesha wewe mvuja jasho kukaa chini na kula Bata.
Kama kweli hawa wanasiasa wanasema unaweza kufanyakazi na kula Bata, muwaulize kama mishahara itakuwa ya kiwango gani?? Badala ya wanasiasa kuwahimiza watu wajiweke akiba itakayo wakimu siku za usoni wao na familia zao, unawaambia piga kazi halafu kula Bata.
Ina maana utakuwa chapa kazi ukimaliza tu, ile pesa uliopata inaingia mfuko mmoja na kutoka mfuko mweingine ikirudi serikalini kwa njia ya kodi ya kula Bata. Sidhani kama hawa wanasiasa wamepata ushauri wa taasisi zinazo jihusisha na biashara au hata kwa hao wafanyakazi wenyewe kama kweli hiyo ahadi inatekelezeka au la. Cha msingi kama kuna mtu anataka kula Bata sio lazima asubiri kupangiwa na mwanasiasa.
Kuna nchi nyingi walikuja na mifumo kama hii ya kazi na Bata leo hii ni majanga, nchi kama Greece, mpaka hivi karibuni ulikua unawza kustaafu ukuwa na umri wa miaka 45, baada ya hapo unakula Bata mpaka kufa kwako. Yamewashinda leo hii wako chini ya usimamizi wa nchi zingine za Ulaya. Spain, unaweza kupumzika mchana kwa masaa matatu tena ukalala kabisa kabla ya kurudi kazini, uchumi wao ulikuwa matatani muda mrefu sana. Portugal hivyo hivyo kama Spain, wananchi kazi kidogo wanapoza na Bata, leo hii hawajijuwi wako wapi kiuchumi mpaka wanasaidiwa na nchi walizo zitawala.
Miaka ya nyuma nchi kama Japan na South Korea zilikiwa na hali mbaya kutokana na vita ya dunia, sidhani kama walikuwa na muda wa kuonja huyo Bata, mpaka leo hii wanajituma kama kanakwamba bado wako kwenye hali mbaya. Kwa mtu mwenye malengo huwezi kumpangia lini afanye kazi na lini ale Bata, muulize Diamond lini alikaa chini akala Bata.
Kama kweli hawa wanasiasa wanasema unaweza kufanyakazi na kula Bata, muwaulize kama mishahara itakuwa ya kiwango gani?? Badala ya wanasiasa kuwahimiza watu wajiweke akiba itakayo wakimu siku za usoni wao na familia zao, unawaambia piga kazi halafu kula Bata.
Ina maana utakuwa chapa kazi ukimaliza tu, ile pesa uliopata inaingia mfuko mmoja na kutoka mfuko mweingine ikirudi serikalini kwa njia ya kodi ya kula Bata. Sidhani kama hawa wanasiasa wamepata ushauri wa taasisi zinazo jihusisha na biashara au hata kwa hao wafanyakazi wenyewe kama kweli hiyo ahadi inatekelezeka au la. Cha msingi kama kuna mtu anataka kula Bata sio lazima asubiri kupangiwa na mwanasiasa.
Kuna nchi nyingi walikuja na mifumo kama hii ya kazi na Bata leo hii ni majanga, nchi kama Greece, mpaka hivi karibuni ulikua unawza kustaafu ukuwa na umri wa miaka 45, baada ya hapo unakula Bata mpaka kufa kwako. Yamewashinda leo hii wako chini ya usimamizi wa nchi zingine za Ulaya. Spain, unaweza kupumzika mchana kwa masaa matatu tena ukalala kabisa kabla ya kurudi kazini, uchumi wao ulikuwa matatani muda mrefu sana. Portugal hivyo hivyo kama Spain, wananchi kazi kidogo wanapoza na Bata, leo hii hawajijuwi wako wapi kiuchumi mpaka wanasaidiwa na nchi walizo zitawala.
Miaka ya nyuma nchi kama Japan na South Korea zilikiwa na hali mbaya kutokana na vita ya dunia, sidhani kama walikuwa na muda wa kuonja huyo Bata, mpaka leo hii wanajituma kama kanakwamba bado wako kwenye hali mbaya. Kwa mtu mwenye malengo huwezi kumpangia lini afanye kazi na lini ale Bata, muulize Diamond lini alikaa chini akala Bata.