Hakuna cha Bata wala Kuku wa kienyeji

Kuna watu wengi hawajaelewa hashtag ya #KaziNaBata, wanahisi kuwa serikali ndo itatoa bata, amini hata kipindi cha JK ilikuwa ni cha #KaziNaBata, yaani unafanya kazi na ukipata una uwezo wa kula bata bila masharti yoyote ila siku hizi hata bar zina mda maalum wa kufunguliwa eti mda mwingine watu wanapaswa kuwa kazini, je hawa wanaofanya kazi za usiku wale bata mda gani!?
Uko sahihi mkuu 👊
 
Haya yote hayawezi kubadilikia kwa sera ya kula bata, kwanza ukila bata ndio kila kitu kitakwama maana productivity itaporomoka, serikali itabidi ikope zaidi kuwapa watu uwezo wa kufanya shughuli zao huku wakiwatoza kodi ndogo.

Mara nyingi Kodi ikiwa ndogo unapata wababaishaji wengi kwenye ukumbi wa uwekezaji (speculators) kuliko wawekezaji wa kweli. Tujikumbushe miaka ya nyuma tulipokuwa na misamaa ya Kodi ya uwekezaji jinsi tulivyo pata wababaishaji wasio lipa Kodi, muda wao ukisha wanafanya ujanja na kukimbia. Wengie wanau hata zile radilimali walizo zikuta.
Kwa hiyo unataka kuniambia alichokisema rais Dr. Magufuli hakina mantiki!?
 
Haya yote hayawezi kubadilikia kwa sera ya kula bata, kwanza ukila bata ndio kila kitu kitakwama maana productivity itaporomoka, serikali itabidi ikope zaidi kuwapa watu uwezo wa kufanya shughuli zao huku wakiwatoza kodi ndogo.

Mara nyingi Kodi ikiwa ndogo unapata wababaishaji wengi kwenye ukumbi wa uwekezaji (speculators) kuliko wawekezaji wa kweli. Tujikumbushe miaka ya nyuma tulipokuwa na misamaa ya Kodi ya uwekezaji jinsi tulivyo pata wababaishaji wasio lipa Kodi, muda wao ukisha wanafanya ujanja na kukimbia. Wengie wanau hata zile radilimali walizo zikuta.
Hivi kwanza umesikiliza hotuba ya mh. Rais au unatiririka tu kwa kile unachokiwaza kichwani!?
 
Hivi kwanza umesikiliza hotuba ya mh. Rais au unatiririka tu kwa kile unachokiwaza kichwani!?
Sijasikia akisema atapunguza kodi, kuna tofauti kati ya kutoa maoni binafsi na kubadili sheria inayohusika na Kodi. Cha msingi walipa Kodi wameongezeka kupitia wanakjishighulisha na sekta isiyo rasmi.
 
Sijasikia akisema atapunguza kodi, kuna tofauti kati ya kutoa maoni binafsi na kubadili sheria inayohusika na Kodi. Cha msingi walipa Kodi wameongezeka kupitia wanakjishighulisha na sekta isiyo rasmi.
Inaonekana hujafuatilia hotuba ya mh. Rais na kama ulimsikiliza basi hata huelewi alikuwa anazungumza nini, kuendelea kujibishana na wewe hapa kumbe ni waste of time tu
 
Inaonekana hujafuatilia hotuba ya mh. Rais na kama ulimsikiliza basi hata huelewi alikuwa anazungumza nini, kuendelea kujibishana na wewe hapa kumbe ni waste of time tu
Kwani rais alikuwa anauza sera ya kazi na bata? Jikite kwenye hoja iliyo mezani Achana na kuokoteza maneno yasio jibu hoja. Tuambie hiyo sera inatekelezeka vipi bila kugarimu serikali mapato? Kwani maneno mengine unategemea serikali ya kazi na bata watatoa incentive gani kutekeleza hoja yao?
 
Kwani rais alikuwa anauza sera ya kazi na bata? Jikite kwenye hoja iliyo mezani Achana na kuokoteza maneno yasio jibu hoja. Tuambie hiyo sera inatekelezeka vipi bila kugarimu serikali mapato? Kwani maneno mengine unategemea serikali ya kazi na bata watatoa incentive gani kutekeleza hoja yao?
Hata mapungufu aliyoyasema jana raisi yakifanyiwa kazi hata sasa #KaziNaBata inawezekana, sera mbadala inajikita zaidi kuona solution ya mapungufu yaliyopo, iwapo huoni mapungufu ya sasa hata ukiambiwa sera bado utakuwa kipofu
 
Hata mapungufu aliyoyasema jana raisi yakifanyiwa kazi hata sasa #KaziNaBata inawezekana, sera mbadala inajikita zaidi kuona solution ya mapungufu yaliyopo, iwapo huoni mapungufu ya sasa hata ukiambiwa sera bado utakuwa kipofu
Hakuna hata mmoja wenu anajibu sahihi ya nini maana ya neno bata, wote mnajaribu kufukia fukia mashimo kadiri muda unavyokwenda. Wewe unaongelea utendaji wa serikali, wengine wanaongele muda wa mapunziko baada ya kazi. Hata mtoa hoja anasema kufanya kazi masaa 8, kupimzika masaa 8 na kulala masaa 8. Mdani inabidi upate ufafanuzi kutoka kwa walio toa hoja maama mnakinzana. Hata kama unavyosema wewe ndio maana halisi, sijaona nchi yoyote duniani inamafaniko ya ufanisi unaozidi hata 75% hapo hata ukijumuisha marekani na bara la ulaya.
 
Hakuna hata mmoja wenu anajibu sahihi ya nini maana ya neno bata, wote mnajaribu kufukia fukia mashimo kadiri muda unavyokwenda. Wewe unaongelea utendaji wa serikali, wengine wanaongele muda wa mapunziko baada ya kazi. Hata mtoa hoja anasema kufanya kazi masaa 8, kupimzika masaa 8 na kulala masaa 8. Mdani inabidi upate ufafanuzi kutoka kwa walio toa hoja maama mnakinzana. Hata kama unavyosema wewe ndio maana halisi, sijaona nchi yoyote duniani inamafaniko ya ufanisi unaozidi hata 75% hapo hata ukijumuisha marekani na bara la ulaya.
Kwa wewe unavyoona bata ni definition au subjective!?
 
Kwa wewe unavyoona bata ni definition au subjective!?
Kila kitu duniani lazina kiwe na definition kabla ya kuwa subjective to any cause of action. Sasa wenzetu mnashindwa kuweka rekodi sawa kuwa Bata ni nini, ni literally Kula nyama ya bata au ni kula maisha kama walivyokuwa wanalitumia hilo neno back in 90's. Subjective without true definition can fall into anyone's interpretation. Wengine wanaweza kusema hiki kizuri wengine wakasema kibaya. Until you all have the true definition of good or bad, mtabaki kubishana tu kama vile tunafanya hapa. Kuna uzi ulifunguliwa humu kutafuna maana ya huo msemo kazi na bata, nadhani hata huko hawakupata ufafanuzi. Kwajinsi nilivyoelewa mimi kazi na bata ni kitu kisichowezekana kutokana nchi inahangaika kuongeza uzalishaji, kula bata utakula uzeeni.
 
Kila kitu duniani lazina kiwe na definition kabla ya kuwa subjective to any cause of action. Sasa wenzetu mnashindwa kuweka rekodi sawa kuwa Bata ni nini, ni literally Kula nyama ya bata au ni kula maisha kama walivyokuwa wanalitumia hilo neno back in 90's. Subjective without true definition can fall into anyone's interpretation. Wengine wanaweza kusema hiki kizuri wengine wakasema kibaya. Until you all have the true definition of good or bad, mtabaki kubishana tu kama vile tunafanya hapa. Kuna uzi ulifunguliwa humu kutafuna maana ya huo msemo kazi na bata, nadhani hata huko hawakupata ufafanuzi. Kwajinsi nilivyoelewa mimi kazi na bata ni kitu kisichowezekana kutokana nchi inahangaika kuongeza uzalishaji, kula bata utakula uzeeni.
Umeulizwa bata ni definition au subjective!? Nataka jibu la aidha definition au subjective au ni vyote kwa pamoja sio blah blah nyingi unaniandikia
 
Umeulizwa bata ni definition au subjective!? Nataka jibu la aidha definition au subjective au ni vyote kwa pamoja sio blah blah nyingi unaniandikia
Unauliza kama umeishia la saba, toa maswali na majibu in depth. Bata is a duck by definition, a water bird with two legs and feathers. BTW, Bata is a "noun". Ukiuliza Definition and subjective has no place over here maana the saying has total different meaning to what your trying to say. "Kula Bata" literally translate as Enjoying Your Life, at least that how we used the word in 90s.
 
Unauliza kama umeishia la saba, toa maswali na majibu in depth. Bata is a duck by definition, a water bird with two legs and feathers. BTW, Bata is a "noun". Ukiuliza Definition and subjective has no place over here maana the saying has total different meaning to what your trying to say. "Kula Bata" literally translate as Enjoying Your Life, at least that how we used the word in 90s.
Tatizo una complicate sana kama vile unajibu essay darasani kwa swali dogo la yes or no, we unaandika blah blah mingi. I better leave you
 
Tatizo una complicate sana kama vile unajibu essay darasani kwa swali dogo la yes or no, we unaandika blah blah mingi. I better leave you
Hapa sio kwa Yes or No, watu wanaongele mustakabali wa nchi hii Kwa miaka ijayo. Huwezi kuweka maisha ya watanzania rehani ahadi zisizo telelezeka na ukajibu yes or no, wananchi lazima wajuwe na waeleweshe nini wanachi kipigia kura. Kazi na Bata haizitekelezeki Kwa sababu Tanzania haina luxury ya kuwaacha watu wale bata wakati nchi is desperate to increase productivity.
 
Wanasiasa mjitahidi na muwe wakweli, hoja zingine ndio zinazokuja kuwatia matatani baada wananchi wakianzakuona mlichi kiaidi hawakipati. Leo hii unamjaza mpiga kura ahadi ambzo hata wewe mwenyewe hujakaa chini kuona kama zinatekelezeka au la. Kitu kimoja lazima wananchi wajuwe kwamba hakuna Bata wa bure, hakuna serikali iyenye uwezo wa kukulisha Bata mpaka uridhike, nikimaanisha hakuna serikali itakulipa mshahara unaokuwezesha wewe mvuja jasho kukaa chini na kula Bata.

Kama kweli hawa wanasiasa wanasema unaweza kufanyakazi na kula Bata, muwaulize kama mishahara itakuwa ya kiwango gani?? Badala ya wanasiasa kuwahimiza watu wajiweke akiba itakayo wakimu siku za usoni wao na familia zao, unawaambia piga kazi halafu kula Bata.

Ina maana utakuwa chapa kazi ukimaliza tu, ile pesa uliopata inaingia mfuko mmoja na kutoka mfuko mweingine ikirudi serikalini kwa njia ya kodi ya kula Bata. Sidhani kama hawa wanasiasa wamepata ushauri wa taasisi zinazo jihusisha na biashara au hata kwa hao wafanyakazi wenyewe kama kweli hiyo ahadi inatekelezeka au la. Cha msingi kama kuna mtu anataka kula Bata sio lazima asubiri kupangiwa na mwanasiasa.

Kuna nchi nyingi walikuja na mifumo kama hii ya kazi na Bata leo hii ni majanga, nchi kama Greece, mpaka hivi karibuni ulikua unawza kustaafu ukuwa na umri wa miaka 45, baada ya hapo unakula Bata mpaka kufa kwako. Yamewashinda leo hii wako chini ya usimamizi wa nchi zingine za Ulaya. Spain, unaweza kupumzika mchana kwa masaa matatu tena ukalala kabisa kabla ya kurudi kazini, uchumi wao ulikuwa matatani muda mrefu sana. Portugal hivyo hivyo kama Spain, wananchi kazi kidogo wanapoza na Bata, leo hii hawajijuwi wako wapi kiuchumi mpaka wanasaidiwa na nchi walizo zitawala.

Miaka ya nyuma nchi kama Japan na South Korea zilikiwa na hali mbaya kutokana na vita ya dunia, sidhani kama walikuwa na muda wa kuonja huyo Bata, mpaka leo hii wanajituma kama kanakwamba bado wako kwenye hali mbaya. Kwa mtu mwenye malengo huwezi kumpangia lini afanye kazi na lini ale Bata, muulize Diamond lini alikaa chini akala Bata.
Mtoa post you nailed it.

Huu ndio ukweli.

Ila bavicha/ufipa watakuja kupinga hili
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom