Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Jamani wana jamvi asa mbona sisikii besdei za wana Jamvi tena wakati nikiingia nilikuta watu mnajiandaa kukata keki ya besdei ya Festiledi1
Kulikoni zimekwisha? ama?
Makoo yamekauka yanahitaji kuchangamshwa!
Kulikoni zimekwisha? ama?
Makoo yamekauka yanahitaji kuchangamshwa!