Hakuna 'Baraza Kivuli la Mawaziri' - Wassira

Brooklyn

JF-Expert Member
Mar 17, 2009
1,459
284
Baada ya waziri Wasira kuikashifu kambi rasmi ya upinzani na baraza kivuli la Mbowe, kumezuka mabishano makubwa na kutupiana vijembe kwa ukali na kwenda mbele zaidi kutumia maneno yasiyo na busara.

Mh. Mbowe kaonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa kwa kuvumilia matusi ya waziri.

Zogo lilianza pale Mh. Mbowe aliposema serikali iliyopo madarakani ni DHAIFU.
 
katika kipindi cha tuongee jambo Tanzania cha TBC leo asubuhi Wasira amejaa kasira sijui kwa sababu gani hasa,au sababu alishindwa kujibu hoja za mh mbowe!
 
Nimeamka asubuhi late nakutana na Mbowe na Wassira TBC 1 jambo Tanzania. Sijajua hasa yaliyojiri ila nilichoona ni kuaniki kwa Mh Wassira!

Anasema Chadema ni chama cha ajabu cha upinzani maana kinakosoa kila kitu, hakijawahi kukubaliana na serikali hata siku moja. Anasema

Mbowe hana baraza la mawaziri (vivuli) coz they are so weak. Kwamba Mbowe hana serikali. Kwamba Chadema ni chama cha maandamano tuu

na hawataki amani. Nadhani alikuwa anakana kuwa bajeti ya serikali haijafumuliwa!

MAJIBU YA MBOWE
Mbowe kwa upole amesema anamheshimu Wassira na hivyo hataki kuingia kwenye malumbano naye. Kwamba wao wanapata muda mdogo mno

bungeni na hivyo wanautumia kuishauri serikali zaidi kuliko kuisifia. Wassira alipong'aka na kutaka kama vile kukasirika, Mbowe aliseama 'Hawa

nido mawaziri wetu, hii ndio serikali yetu'? Halafu akauliza kama wassira anasema mbowe hana mawaziri kwani sasa hivi tunaserikali?

Nawasilisha wakuu, aliyeona toka mwanzo atujuze yaliyojiri zaidi. Thank you
 
Asubuhi hii nimeangalia tbc,kulikuwa na mjadala ulimuhusisha Mh Mbowe na Wassira!

Mbowe akatoa hoja kuwa serikali ya CCM ni dhaifu, ilishindwa kuangalia maswala muhumu wakati wa bajeti, hasa ya Nishati,na ya uchukuzi, ndio maana walitupiwa vitabu vyao.

Wassira akapandwa na jazba, akaanza kutukana kuwa mawaziri vivuli wote ni mbumbumbu na CHADEMA si wapenda amani na mengine mengi! Mbowe naye akachombeza!'Hii ndio serikali yetu na hawa ndio mawaziri tulio nao!
 
Asubuhi hii nimeangalia tbc,kulikuwa na mjadala ulimuhusisha Mh Mbowe na Wassira!

Mbowe akatoa hoja kuwa serikali ya CCM ni dhaifu, ilishindwa kuangalia maswala muhumu wakati wa bajeti, hasa ya Nishati,na ya uchukuzi, ndio maana walitupiwa vitabu vyao.

Wassira akapandwa na jazba, akaanza kutukana kuwa mawaziri vivuli wote ni mbumbumbu na CHADEMA si wapenda amani na mengine mengi! Mbowe naye akachombeza!'Hii ndio serikali yetu na hawa ndio mawaziri tulio nao!

hapo kamjibu kisomi zaidi
 
Asubuhi hii nimeangalia tbc,kulikuwa na mjadala ulimuhusisha Mh Mbowe na Wassira!
Mbowe akatoa hoja kuwa serikali ya CCM ni dhaifu, ilishindwa kuangalia maswala muhumu wakati wa bajeti, hasa ya Nishati,na ya uchukuzi, ndio maana walitupiwa vitabu vyao.
Wassira akapandwa na jazba, akaanza kutukana kuwa mawaziri vivuli wote ni mbumbumbu na CHADEMA si wapenda amani na mengine mengi! Mbowe naye akachombeza!'Hii ndio serikali yetu na hawa ndio mawaziri tulio nao!
Huyu Wassira mzee wa kusinzia, mbona sijaona sehemu yoyote aliyotukana?
 
Asubuhi hii nimeangalia tbc,kulikuwa na mjadala ulimuhusisha Mh Mbowe na Wassira!

Mbowe akatoa hoja kuwa serikali ya CCM ni dhaifu, ilishindwa kuangalia maswala muhumu wakati wa bajeti, hasa ya Nishati,na ya uchukuzi, ndio maana walitupiwa vitabu vyao.

Wassira akapandwa na jazba, akaanza kutukana kuwa mawaziri vivuli wote ni mbumbumbu na CHADEMA si wapenda amani na mengine mengi! Mbowe naye akachombeza!'Hii ndio serikali yetu na hawa ndio mawaziri tulio nao!

Nasikitika kusema mzee wassira amechoka kimwili na kiakili lakini bado ndio mtu anayeaminiwa na rais kikwete.

Kwahiyo hapo utaona kwamba Mbowe hajakosea kumjibu kwamba hiyo ndio aina ya serikali tuliyonayo. Serikali iliyochoka kimwili na kiakili.
 
Mizeee mingine bana kazi yake kubwa ni kulala kama pono,akiamka tu ni kulopoka mtindo mmoja.
 
Nimemsikiliza sana, Katika mawaziri wa ajabu mmojawapo ni huyu. Yaani waziri anajazba kama mtoto, namshauri mheshimiwa mbowe akahamie Bunda ili ahakikishe jimbo lake linaondoka.
 
Nasikitika kusema mzee wassira amechoka kimwili na kiakili lakini bado ndio mtu anayeaminiwa na rais kikwete.

Kwahiyo hapo utaona kwamba Mbowe hajakosea kumjibu kwamba hiyo ndio aina ya serikali tuliyonayo. Serikali iliyochoka kimwili na kiakili.

hawa ndio mawaziri tulionao ni jibu zuri sana kwa WASSIRA
 
Kama unapata shida kuelewa maana ya kivuli ni dhahiri kwamba hutokuwa na mawazo tofauti na wassira ambaye anasinzia bungeni na baada ya kaona picha yake gazetini akiuchapa usingizi anakurupuka kutoa shutuma kwamba gazeti linafanya uchochezi.
Basi sema wewe ni nini maana ya kivuli. Ninavyojua hata mimi kivuli ni kitu kisichokuwa halisi. Tena huwa hakiwezi kutokea mpaka kuwe na jua. Kwahiyo hapo CCM ndiyo jua halafu inamulika vivuli kama CHADEMA navyo vinatokea.
 
Asubuhi hii nimeangalia tbc,kulikuwa na mjadala ulimuhusisha Mh Mbowe na Wassira!

Mbowe akatoa hoja kuwa serikali ya CCM ni dhaifu, ilishindwa kuangalia maswala muhumu wakati wa bajeti, hasa ya Nishati,na ya uchukuzi, ndio maana walitupiwa vitabu vyao.

Wassira akapandwa na jazba, akaanza kutukana kuwa mawaziri vivuli wote ni mbumbumbu na CHADEMA si wapenda amani na mengine mengi! Mbowe naye akachombeza!'Hii ndio serikali yetu na hawa ndio mawaziri tulio nao!
Hapo kwenye red Mbowe kaua kabisa, na sisi wananchi tumemwelewa vema
 
Nimeamka asubuhi late nakutana na Mbowe na Wassira TBC 1 jambo Tanzania. Sijajua hasa yaliyojiri ila nilichoona ni kuaniki kwa Mh Wassira!

Anasema Chadema ni chama cha ajabu cha upinzani maana kinakosoa kila kitu, hakijawahi kukubaliana na serikali hata siku moja. Anasema

Mbowe hana baraza la mawaziri (vivuli) coz they are so weak. Kwamba Mbowe hana serikali. Kwamba Chadema ni chama cha maandamano tuu

na hawataki amani. Nadhani alikuwa anakana kuwa bajeti ya serikali haijafumuliwa!

MAJIBU YA MBOWE
Mbowe kwa upole amesema anamheshimu Wassira na hivyo hataki kuingia kwenye malumbano naye. Kwamba wao wanapata muda mdogo mno

bungeni na hivyo wanautumia kuishauri serikali zaidi kuliko kuisifia. Wassira alipong'aka na kutaka kama vile kukasirika, Mbowe aliseama 'Hawa

nido mawaziri wetu, hii ndio serikali yetu'?
Halafu akauliza kama wassira anasema mbowe hana mawaziri kwani sasa hivi tunaserikali?

Nawasilisha wakuu, aliyeona toka mwanzo atujuze yaliyojiri zaidi. Thank you

Asante Mh Freeman Mbowe kwa majibu ya Heshima bila utwana.
Unaweza kupita pale Breakpoint wakati wowote upate chupa moja ya Johnwalker fo free .
 
Huyu mzee kwa kweli amechoka kihoja ni muda muafaka kwake kupumzika.
 
Basi sema wewe ni nini maana ya kivuli. Ninavyojua hata mimi kivuli ni kitu kisichokuwa halisi. Tena huwa hakiwezi kutokea mpaka kuwe na jua. Kwahiyo hapo CCM ndiyo jua halafu inamulika vivuli kama CHADEMA navyo vinatokea.

Hii ni kuthibitisha kwamba magamba mmechoka kimwili na kiakili. Unachokiandika hapa hata hakieleweki, umekurupuka bila shaka toka usingizini kama anavyokurupuka wassira. Wasilianeni na magamba mwezako unayekubaliana naye ili mje na tafsiri sahihi.
 
Hivi Wassira ameamka?? maana last time nilimuona kalala bungeni
 
Basi sema wewe ni nini maana ya kivuli. Ninavyojua hata mimi kivuli ni kitu kisichokuwa halisi. Tena huwa hakiwezi kutokea mpaka kuwe na jua. Kwahiyo hapo CCM ndiyo jua halafu inamulika vivuli kama CHADEMA navyo vinatokea.
kweli ccm ni jua maana linachoma hadi mifukoni,..CDM ni kivuli cha watu kupumzika baada ya kuchoshwa sana na jua...you are a genius..props!!!
 
Back
Top Bottom