Hakuna anayeweza kuiongoza CHADEMA katika utawala huu uliopo zaidi ya Mh. Mbowe. CHADEMA msifanye makosa

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Jul 18, 2018
4,445
4,704
Kumekuwa na mjadala mpana katika mitandao ya kijamii juu ya Mh. Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti wa Chadema Taifa.

Kumekuwa na shinikizo kutoka nje ya Chadema na baadhi ya Wabunge wa Chadema kina Mwambe, Komu na Kubenea kuwa Mh. Mbowe hafai.

Binafsi hao wa nje sioni kama ni tatizo kwani wanajua kuwa Mh Mbowe ni kiongozi imara akiondoka basi itakuwa rahisi kwao kuiua Chadema kwani mbinu mbalimbali wametumia lakini zimeshindikana.

Kwa hawa Wabunge naomba wanachama wa Chadema wawapuuze na ikibidi hata kwenye Chama wafukuzeni.

Hebu fikirieni viongozi wa Chadema zaidi ya 9 wako Mahakamani hao Wabunge hawajawahi hata siku moja kwenda Mahakamani kusikiliza kesi ya wenzio.

Mbunge Kubenea yupo hapa hapa Dar lakini anashindwa kwenda Mahakamani? Wana CHADEMA sidhani kama kuna kiongozi kwa sasa wa kuiongoza Chadema katika kipindi kigumu cha siasa za Tanzania zaidi ya Mh. Mbowe.

Kumbukeni misukosuko mingapi aliyopitia Mh. Mbowe katika utawala wa awamu hii? Mmeona Mh Lowassa kutikiswa kidogo tu Kakimbia Upinzani na kujiunga na CCM.

Wabunge kina Komu, Mwambe na Kubenea hata sero hawajawahi kulala, je wakitikiswa si siku hiyo hiyo watajiunga na CCM kama kina Ole milia Lowassa, Mwita na wengine?

Wana CHADEMA mpeni kura zenu Mh. Mbowe kwa uhai wa chama chenu.
 
kwanini kila inapokuja suala la baadhi ya watu kuwa na maono tofauti kuhusu mbowe mnasema ni shinikizo kutoka nje ya chadema, chadema ina watu wengi wenye uwezo wa kuongoza chama nje ya mbowe. ruhusu watu kufukiri nje ya boksi mkuu. makamnda mchagueni mh mwambe. ana sifa zote za kuongoza chadema
 
kwanini kila inapokuja suala la baadhi ya watu kuwa na maono tofauti kuhusu mbowe mnasema ni shinikizo kutoka nje ya chadema, chadema ina watu wengi wenye uwezo wa kuongoza chama nje ya mbowe. ruhusu watu kufukiri nje ya boksi mkuu. makamnda mchagueni mh mwambe. ana sifa zote za kuongoza chadema
Vipi CUF ilikuwaje? Msajili ni ndani ya Cuf?
 
Kumekuwa na mjadala mpana katika mitandao ya kijamii juu ya Mh. Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti wa Chadema Taifa.

Kumekuwa na shinikizo kutoka nje ya Chadema na baadhi ya Wabunge wa Chadema kina Mwambe, Komu na Kubenea kuwa Mh. Mbowe hafai.

Binafsi hao wa nje sioni kama ni tatizo kwani wanajua kuwa Mh Mbowe ni kiongozi imara akiondoka basi itakuwa rahisi kwao kuiua Chadema kwani mbinu mbalimbali wametumia lakini zimeshindikana.

Kwa hawa Wabunge naomba wanachama wa Chadema wawapuuze na ikibidi hata kwenye Chama wafukuzeni.

Hebu fikirieni viongozi wa Chadema zaidi ya 9 wako Mahakamani hao Wabunge hawajawahi hata siku moja kwenda Mahakamani kusikiliza kesi ya wenzio.

Mbunge Kubenea yupo hapa hapa Dar lakini anashindwa kwenda Mahakamani? Wana CHADEMA sidhani kama kuna kiongozi kwa sasa wa kuiongoza Chadema katika kipindi kigumu cha siasa za Tanzania zaidi ya Mh. Mbowe.

Kumbukeni misukosuko mingapi aliyopitia Mh. Mbowe katika utawala wa awamu hii? Mmeona Mh Lowassa kutikiswa kidogo tu Kakimbia Upinzani na kujiunga na CCM.

Wabunge kina Komu, Mwambe na Kubenea hata sero hawajawahi kulala, je wakitikiswa si siku hiyo hiyo watajiunga na CCM kama kina Ole milia Lowassa, Mwita na wengine?

Wana CHADEMA mpeni kura zenu Mh. Mbowe kwa uhai wa chama chenu.
Kweli JPM iko tayari kutumia nusu ya budget kununua kiongozi mkuu wa chama cha upinzani, ili atawale vizri...... mtu mwenye njaa ya pesa, hawezi hicho chama kwasas
 
Wanawatia uoga makamanda wao ili wampigie Mbowe, yaani mwenyekiti miaka 25 karibia halafu hakuna MTU mwingine, this party is the worst. Hawana hazina ya uongozi. Mwenyekiti Mbowe kacharuka.
 
Si kweli, kuna wengi wanaweza Kuvaa viatu vya uenyekiti, Akiwemo Lissu, Heche.. nk
Misukosuko si kipimo ila Nia ya dhati..
Hata Lissu akigombea leo atakubalika kutokana na Uwezo aliyouonyesha na uadilifu wake katika Chama na sio sababu alishambuliwa kwa Risasi.
Ni Muda sasa Mh.Mbowe apishe ,Amefanya kazi kubwa ila sasa ni zamu ya Mwingine kuendeleza hayo mazuri na Hamasa mpya kwa Wanachama.
 
Ok, tunekuelewa,..
Lisu, Lema, Msigwa, Mdee, Mnyika na wengine wengi ni takataka tu! Mbowe ndio mwenyewe.
 
Kumekuwa na mjadala mpana katika mitandao ya kijamii juu ya Mh. Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti wa Chadema Taifa.

Kumekuwa na shinikizo kutoka nje ya Chadema na baadhi ya Wabunge wa Chadema kina Mwambe, Komu na Kubenea kuwa Mh. Mbowe hafai.

Binafsi hao wa nje sioni kama ni tatizo kwani wanajua kuwa Mh Mbowe ni kiongozi imara akiondoka basi itakuwa rahisi kwao kuiua Chadema kwani mbinu mbalimbali wametumia lakini zimeshindikana.

Kwa hawa Wabunge naomba wanachama wa Chadema wawapuuze na ikibidi hata kwenye Chama wafukuzeni.

Hebu fikirieni viongozi wa Chadema zaidi ya 9 wako Mahakamani hao Wabunge hawajawahi hata siku moja kwenda Mahakamani kusikiliza kesi ya wenzio.

Mbunge Kubenea yupo hapa hapa Dar lakini anashindwa kwenda Mahakamani? Wana CHADEMA sidhani kama kuna kiongozi kwa sasa wa kuiongoza Chadema katika kipindi kigumu cha siasa za Tanzania zaidi ya Mh. Mbowe.

Kumbukeni misukosuko mingapi aliyopitia Mh. Mbowe katika utawala wa awamu hii? Mmeona Mh Lowassa kutikiswa kidogo tu Kakimbia Upinzani na kujiunga na CCM.

Wabunge kina Komu, Mwambe na Kubenea hata sero hawajawahi kulala, je wakitikiswa si siku hiyo hiyo watajiunga na CCM kama kina Ole milia Lowassa, Mwita na wengine?

Wana CHADEMA mpeni kura zenu Mh. Mbowe kwa uhai wa chama chenu.
MBOWE siyo immortal dk yoyote anaweza kuanguka vipi chama nacho kitakufa?
 
Vipi biashara ya Polepole ya kununua Wabunge ndio budget hiyo
sasa Kama kambi yenu mnazalisha makamanda wanao nunulika , tuwaiteje? Huo ni udhaifu wenu pole pole ni mfanya biashara Wa kisiasa
Kama faida IPO katika kuwanunua hao wabunge basi lazima hilo lifanyike
 
Kumekuwa na mjadala mpana katika mitandao ya kijamii juu ya Mh. Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti wa Chadema Taifa.

Kumekuwa na shinikizo kutoka nje ya Chadema na baadhi ya Wabunge wa Chadema kina Mwambe, Komu na Kubenea kuwa Mh. Mbowe hafai.

Binafsi hao wa nje sioni kama ni tatizo kwani wanajua kuwa Mh Mbowe ni kiongozi imara akiondoka basi itakuwa rahisi kwao kuiua Chadema kwani mbinu mbalimbali wametumia lakini zimeshindikana.

Kwa hawa Wabunge naomba wanachama wa Chadema wawapuuze na ikibidi hata kwenye Chama wafukuzeni.

Hebu fikirieni viongozi wa Chadema zaidi ya 9 wako Mahakamani hao Wabunge hawajawahi hata siku moja kwenda Mahakamani kusikiliza kesi ya wenzio.

Mbunge Kubenea yupo hapa hapa Dar lakini anashindwa kwenda Mahakamani? Wana CHADEMA sidhani kama kuna kiongozi kwa sasa wa kuiongoza Chadema katika kipindi kigumu cha siasa za Tanzania zaidi ya Mh. Mbowe.

Kumbukeni misukosuko mingapi aliyopitia Mh. Mbowe katika utawala wa awamu hii? Mmeona Mh Lowassa kutikiswa kidogo tu Kakimbia Upinzani na kujiunga na CCM.

Wabunge kina Komu, Mwambe na Kubenea hata sero hawajawahi kulala, je wakitikiswa si siku hiyo hiyo watajiunga na CCM kama kina Ole milia Lowassa, Mwita na wengine?

Wana CHADEMA mpeni kura zenu Mh. Mbowe kwa uhai wa chama chenu.
Unachoweza kusema ni kwamba hakuna atakayeungwa mkono na wana-CHADEMA kama siyo Mbowe. Ukisema hivyo mimi nitakuelewa maana sababu za kuungwa mkono Mbowe nazifahamu.
 
Kweli chama demokrasia, haya mfalme juha aendelee kitawala hakuna haja ya uchaguzi mpeni chama chake cha urithi.
 
Vipi biashara ya Polepole ya kununua Wabunge ndio budget hiyo
Tatizo ni kuamini kwamba wananunuliwa kuelekea upande mmoja na upande mwingine hauna uwezo wa kununua. Tatizo ni ubora wa wanasiasa. wako kibiashara, tangu M/kiti hadi ngazi ya ubunge. Kule chini mitaani wengi hawajui walioko juu wana malengo gani.
 
Back
Top Bottom